Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Siku moja baada ya Klabu ya Yanga kufanya mkutano na waandishi wa vyombo vya habari, wakieleza malalamiko yao kuhusu uendeshaji wa Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League.
Leo February 9, 2022 Wazee wa Klabu hiyo wamefanya mkutano na waandishi wa habari, kusisitiza kwamba wameandika barua ya kuomba kukutana na Mh Rais Samia Suluhu Hassan kuwenda kuishitaki maovu ya TFF.
Wazee wamesema kuwa wamechoshwa na mwenendo wa waamuzi wanaochezesha Ligi Kuu Tanzania (NBC Premier League) na wanataka mpira uchezeshwe kwa misingi ya haki na kuacha uonevu.
Pia wamesema uonevu ukiendelea dhidi ya Yanga SC, basi watakwenda mahakamani kusitisha Ligi Kuu Tanzania huku wakidai kwamba kama kuna bingwa ameandaliwa, apewe kombe kisha wao waendelee na mambo mengine.
Leo February 9, 2022 Wazee wa Klabu hiyo wamefanya mkutano na waandishi wa habari, kusisitiza kwamba wameandika barua ya kuomba kukutana na Mh Rais Samia Suluhu Hassan kuwenda kuishitaki maovu ya TFF.
Wazee wamesema kuwa wamechoshwa na mwenendo wa waamuzi wanaochezesha Ligi Kuu Tanzania (NBC Premier League) na wanataka mpira uchezeshwe kwa misingi ya haki na kuacha uonevu.
Pia wamesema uonevu ukiendelea dhidi ya Yanga SC, basi watakwenda mahakamani kusitisha Ligi Kuu Tanzania huku wakidai kwamba kama kuna bingwa ameandaliwa, apewe kombe kisha wao waendelee na mambo mengine.