VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Taifa letu limejaliwa hazina kubwa. Huu upepo wa Lissu kwa majibu mwepesi yanayotolewa kwa hoja nzito ,hayana tija kwa afya ya umoja ,ustawi na taswira ya taifa letu.
Baba wa taifa aliwahi kushauri taifa mara nyingi na kuandika vitani pia mfano , "Tujisahihishe"
Tunajenga nchi moja ,tujivunie taifa letu. Tusisubi wasuluhishi wa nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba wa taifa aliwahi kushauri taifa mara nyingi na kuandika vitani pia mfano , "Tujisahihishe"
Tunajenga nchi moja ,tujivunie taifa letu. Tusisubi wasuluhishi wa nje.
Sent using Jamii Forums mobile app