Mbu walikuwepo tangu dunia ianze kuhost uhai wa viumbe.Zamani mbu walikua hamna ... kijiji watu hawakujua neti ni nini, mabeberu wameleta magonjwa
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kuna majani ya kuvukiza kuna ya kuchoma, kuna mdalasini kuna ya kuweka ndani ya nyumba kama yalivyo nknkNipe hiyo mbinu ya asili kufukuza mbu maana kulala na net ni mateso
Inazungumzia zamani ipi!!?..miaka ya 50-60 huko hapakua na malaria,mbu walikuwepoMbu wa siku hizi hawana madhara walibadilishwa genetic ni mbu wa kisasa wasio na madhara. Zamani kuugua malaria 🦟 ilikuwa KILA mara tofauti na siku hizi
Wakati ukizima taa ndio wanang,'ata kinomaZaman kulikua hakuna umeme,lile giza mbu nao hawaoni