Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,694
- 11,019
Wazee wetu punguzeni nongwa, ubinafsi na roho mbaya. Ni ukweli usiopingika kuwa wazee wetu wamekuwa ni miongoni mwa sababu mojawapo ya vijana wengi kunyimwa ajira kwa kigezo cha uzoefu. Wazee wanawasagia kunguni vijana.
Sasa kumezuka wimbi kubwa la wazee kulazimisha kupewa msaada wa hali na mali, kijana anapambana huko na wengine mpaka wanafanya dili za haramu roho mkononi ili tu kuzitengeneza future zao cha ajabu mzee akikuta kijana amejipanga na kujijenga anaanza kulazimisha kupewa msaada wa hiki na kile tena kwa kulazimisha kama vile haelewi hali ilivyo, wazee wetu ujana wenu mlikula na nani?
Punguzeni nongwa, ubinafsi na roho mbaya wazee. Kama ulishindwa kupambana na kujitoa muhanga kwa ajili ya maisha yako kipindi cha ujana wako sasa hivi ndio unakumbuka kujifunika shuka wakati ndio kunakucha?
Sasa kumezuka wimbi kubwa la wazee kulazimisha kupewa msaada wa hali na mali, kijana anapambana huko na wengine mpaka wanafanya dili za haramu roho mkononi ili tu kuzitengeneza future zao cha ajabu mzee akikuta kijana amejipanga na kujijenga anaanza kulazimisha kupewa msaada wa hiki na kile tena kwa kulazimisha kama vile haelewi hali ilivyo, wazee wetu ujana wenu mlikula na nani?
Punguzeni nongwa, ubinafsi na roho mbaya wazee. Kama ulishindwa kupambana na kujitoa muhanga kwa ajili ya maisha yako kipindi cha ujana wako sasa hivi ndio unakumbuka kujifunika shuka wakati ndio kunakucha?