godizila
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 849
- 384
Maui endelea Katuma mkuWale wa odds 2-5 Try this ni option bomba sana this week katika mikeka 6 niliyocheza WIN 5 Lost 1..kukosa kupo but at least risk yake ni ndogo View attachment 1495941
Maui endelea Katuma mkuWale wa odds 2-5 Try this ni option bomba sana this week katika mikeka 6 niliyocheza WIN 5 Lost 1..kukosa kupo but at least risk yake ni ndogo View attachment 1495941
View attachment 1501564nilisahau kushare humu jana
Ila hata ningeshare watu wangeuzarau
Hongera Mkuu,na mm nimepata ya supu asubuhi hii sasa nimejaribu kutoa inashindikana sijui nini tatizo nimejaribu kuchek nao namba hazipatikani,naomba nijuze unatoajeView attachment 1501564nilisahau kushare humu jana
Ila hata ningeshare watu wangeuzarau😎
Kampuni unawapigia simu hawapokei wakati kampuni nyingine zinapiga kuuliza kwanini hubet? Hizo kampuni za vichochoroni achana nazo mkuu.Msaada Wakuu,nashindwa kutoa pesa kwa akaunt yangu kampuni Betika nimejaribu kuwapigia hawapokei,mwenye kujua anijuze tafadhari,asanteni
Aseee ngoja nivumilie mkuuu sitochoka kuwapigia Pesa yangu ni Haki yanguKampuni unawapigia simu hawapokei wakati kampuni nyingine zinapiga kuuliza kwanini hubet? Hizo kampuni za vichochoroni achana nazo mkuu.
Kama wao hawapokei kuwa mvumilivu tu.
wale wa meridian ambao kitambo hatuja gusa account zetu naona kuna bonus tumepewa apa kilicho baki ni kuitumia effectively hii pesaView attachment 1501649
wale wa meridian ambao kitambo hatuja gusa account zetu naona kuna bonus tumepewa apa kilicho baki ni kuitumia effectively hii pesaView attachment 1501649
Na mimi wamenipa aiseee...!! Noma sanaa sema imeshaendaaaa...
ina tumika tu kawaida m nshatiaHii bonus inatumikaje wadau?
Hongera Mkuu,na mm nimepata ya supu asubuhi hii sasa nimejaribu kutoa inashindikana sijui nini tatizo nimejaribu kuchek nao namba hazipatikani,naomba nijuze unatoaje
sio kujiliwaza me nlieka over 2.5 na imetoa ila kwenye ticket ndo wamenzinguaacha kujiliwaza mzee game imechezwa mpaka mwisho,flora mchenge Sana kaondoka na mshiko mrefu Sana,...ilikuwa imepangwa na wametupata wengi sana
nlieka over 2.5Wew ulibet vipi, ashinde/apoteze? Kama ashinde means umelose, kama apigwe iko win! Kampuni ikiapdate itaonesha tu
Hawa wanakulipa,ila hiyo game wanaitoa.kwa jinsi walivyokuandika ina maana game haikuishanlieka over 2.5 View attachment 1501918
komaa nao kaka mechi iliisha hiyo mpaka mwisho nlikuwa naifatilia,me kaninyima 700k peke ake mkeka wa timu kumisio kujiliwaza me nlieka over 2.5 na imetoa ila kwenye ticket ndo wamenzinguaView attachment 1501915View attachment 1501916