TheDek
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 457
- 427
Nimekusoma Mkuunext time gawa Mara mbili hukosi pesa mzee
Nimekusoma Mkuunext time gawa Mara mbili hukosi pesa mzee
maswali ya msingi kwanza.....Jamani hebu toeni shule jwa ufupi jinsi ya kubet maana hizi 1.5 siju 3.75 mi sizielewi na natamni kweli haya mambo. Ila sina elimu nayo
Sifahamu chocho nilibahatisha siku moja kwa kuchagua namba ndogo tupu mfano kama 1.5 na 17.5 nachagua 1.5, nikaliwa kwa hiyo sielewi chochoteMkuu una muda gani tangia uanze ku bet?
una elewa nini kuhusu ku bet yaan nini unavijua kwa ufupi ili tuanzie hapo
Hahahh imetoa mkuu
imeisha hiyo mkuu...asiyetaka asiiamini kanuni yangu ila nimechunguza sana inafanya kaziHiii kweli mkuu, chelsea ni kiazi wa mwisho kabisa akishatanguliwa hana maajabu. Naona kanji anaanza kuishughulikia mikeka yetu mapema mno...
kama sahv mi nina karaha na sitaweza kumuelezea kuhusu bettingmaswali ya msingi kwanza.....
umejiandaaje na kufunga ndoa na muhindi??
je unaroho nyepesi au ngumu??
unaweza kuacha kutumia akiba yako ya mwisho kwa ajili ya chakula ukatupia kwa muhindi kujaribu zali?
Je simu yako huwa unaweka bundle la kutosha maana huku kama unategemea MB 50 utajutia mzee.....maana unaweza kushangaa unaweka stake kumbe bundle limekata!! yaani namaanisha simu yako iwe na uwezo wa kuwa na bundle LA kutosha all the time!!
karibu sana....Ila ujue huku kuna raha na karaha!!
Pole mkuukama sahv mi nina karaha na sitaweza kumuelezea kuhusu betting
BOOOOMHapna mkuu sikushauri kbsaaa uskmbilie odds mlima kisa timu chache umeona hapo kila mechi INA hatari tupu kuja kuisha zotee zikitck ur Lucky, na nilisema kama umestake basi sa 7:30 utakuw unalia mechi ya Sydney iko dakk ya 84 goli 3-0 ungewka over 2.5
Ya Madrid over 1.5ft
Ya Bochum over 2.5ft
Ya turkey hiyo btts yes,over 1.5ft yes
Ya Russia Tambov under 4ft
Vpi sasa umetick na shukuru hapo kwa Sydney goli la 4 na 5 kalipiga dakk ya 79,80 mkeka ulikuw hatrii tupu ulkuj tukauedit ukatulia ikawa sure betWashkaji waliupinga huu mkeka ila kidogo muhindi ashke kichwa odd 136 ..View attachment 1284644
Kama ulizngtia kweliNimezingatia Mkuu
Chelsea na arsenal unatupa hela saivi mkuuHawa ngo'mbe wa lampard upepo wao uxhaanza kukata siwapi tena wanatukosesha raha mapema yote hii
Leo nimemtoa Chelsea kwenye hesabChelsea na arsenal unatupa hela saivi mkuu
Siku hzi huwa natest mitambo shuti nje ya kumi na nane Mkuu huwa sio mbaya.Vpi sasa umetick na shukuru hapo kwa Sydney goli la 4 na 5 kalipiga dakk ya 79,80 mkeka ulikuw hatrii tupu ulkuj tukauedit ukatulia ikawa sure bet