Nashukuru kwa maelekezo yako mkuu.Fanya ivi nenda kwenye account yako kama vile unavyoenda kuwithdrawal kwa juu utaona kaalama ka kalamu bonyeza hapo baada ya hapo utaona tena kwa chini umeandikiwa activate by email bonyeza utatumiwa email nenda kwenye email yako confirm baada ya hapo ukitaka kutoa hela inatoka moja kwa moja hakuna maswala ya sms code
Baada ya kuactivate account furahia kutoa pesa View attachment 1228856View attachment 1228861
Haina uzuri wowote ni kama Betpawa.
Yaani hapo tu
Sijawahi kuwa serious kwa chochote kile.
Wanajitahidi kweli
Cha ajab hata sikufata,we ulifata?Na leo wanapatia zote
Kwyynio uliyojiunga NATO 1xbet ndo IPO kwa simu au?Nashukuru kwa maelekezo yako mkuu.
Lakini nimefanya hivyo, still nikitaka kutoa naambiwa nisubiri SMS CODE.
Wapi huko mzee mwenzangu
BET WONMACEDONIA V SLOVENIA
Match Result: 1
ODDS: 3