Gini
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 398
- 385
Ili uweze ku deposit ni lazima uanzie kwenye account kwanza, utabonyeza deposit kisha utaweka kiasi halafu watakutumia ujumbe. Ukilipia b4 hujaweka kiasi kule kwa account haitakubaliKila nikiweka 0920 wananiambia Nakosea.....nini tatizo