Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,989
Kampuni za kibongo huu ndio muda wao wakusahihisha makosa la sivyo watabaki na ule msemo wa majuto ni mjukuu.
Kampuni wana sponsor ligi kuu ya italy wewe umawaita scammer kwa ajili ya review ambayo mtu yyt anaandika mtandaoni hata mwenye chuki binafsi. Ulaya wanakubali ujue haina shida
Mpesa na Airtel money piaNasikia 1XBET imerudishwa sema payment kwa TIGO PESA sijaona ipo kwelView attachment 1227985View attachment 1227987
Mbona kwa tigo pesa sioni mkuuMpesa na Airtel money pia
teh teh teh naona mmeanza kujitokeza kwa rangi ile ile
IpoMbona kwa tigo pesa sioni mkuu
USIWACHEKE SANA HAOO NDIOWALICHOMA ZIKAONDOLEWA HUJUI WANAKUJA NA STYLES GANNTHIS TIMEEnock ni muya
Hawa sijui PMbet watakaa bench hawa BetPawa nawatema kikosini sijui M-Bet nimechoka kubet correct score Meridianbet nawapatia red card moja kwa moja nanyooka na 1xbet
Bado nawasikilizia mkuuUlifata?
Ahahah Nacheka tu ahahah yaani nacheka tuWakuu mkacheki 1xbet naona huduma zao, mobile payment zimerudView attachment 1227773
WoyoiiiiioiiooooooooOYOO OOOOOOOOOOOOOOO MZUKA MZUKA MZUKA ILE MBAYAAAAAAAAA PIGA KELELEEE 1XBETTTT
22bet ina Mobile option for Depositing/Withdrawing...???Kuna watu ni wabishi wa kuzaliwa...22bet ina features kama 1xbet ila ni bora kwa sasa ukicompare na 1xbet...wanobet 500 tsh hawawezi nielewa...mi leo tu kwenye page yangu hist from 9/10/2019 to 9/10/2019 nimebet almost 300,000 Tsh kwa 22 bet....
View attachment 1227938
Huko huko yatajulikana mbele kwa mbeleNaona watu wanashangilia 1xbet kurud kwa mobile money za kibongo...ila kwa sisi wazoefu wa hizi mambo tunawaambia kuwa hakuna kampun ya betting ya nje ya kitapeli kama 1xbet..1xbet ni wazur ukiwa unaliwa ila siku ukianza kuwala ndo utajua 1xbet ni watu gani..utafanyiwa mizengwe yote mwisho wa siku utashtukia balance inasoma 0..nawashauri wanaobet kwa 1xbet wafanye kwa caution kubwa....wazoefu watanielewa. Kwa sasa the best site ya nje kwa hapa bongo ni 22bet
Kutoa sasa ni noma....mi nasubiri SMS CODE Nusu saa sasa!Chap tu imekubali.
Wewe kama wewe walishawahi kukudhurumu???Man mi ni 'GURU' nabet mwaka wa 10 sasa...nabet mpaka 1 milion per one stake....si basket si football..si volleyball....elewa ninachokwambia...hunifaham sikufaham ila ukiamua kutokufanyia kazi ushaur wangu ni poa pia. Ila kwa wale wanaobet 100k, 200k , 500k wameshanielewa naongelea nini kuhusu utapeli wa 1xbet