Hivi hawa wamekuwaje! Mbona nimepata au sina macho...
_20191009_065707.JPG
 
Hii kitu ilinikutaga kuna timu niliipa ishinde mpaka dk ya 86 ilikuwa inaongoza 2 zero na hyo ndo ilikuwa game ya mwisho kwenye mkeka wang nivune bas bana moyo ukaanza kusherehekea ushindi nikatoka live score baadaye naenda kucheki pm nakuta hela bado kuchek mkeka ety lost yaan sikuamin walitoka 2:2 kwel mpira dk 90 yaan unaweza sema kuna uchawi ety.
Hakuna kitu kinauma ka timu zinacheza umezipa under 3.5, af hadi dk ya 80 ngoma lbd iko 1-0, huku ka moyo kanaanza kufurahia, unatoka livescore unajua mkeka ushatiki, ile unakua kucheki unakutana na LOST, unahisi bookmaker matapeli, kwa hasira unaingia livescore, unakuta magoli yalifungwa dk ya 85, 87 90. Af stake mlima,Hapo ndo utajua dunia haina huruma.Unaeza ukapata mafua ghafla ile DAIMA MBELE NYUMA MWIKO we ukaisema DAIBA BELE NYUBA BWIKO. mmh, ukitaka kubet, agana na presha kwnz Mamaeeeeeee..!!
 
Hii kitu ilinikutaga kuna timu niliipa ishinde mpaka dk ya 86 ilikuwa inaongoza 2 zero na hyo ndo ilikuwa game ya mwisho kwenye mkeka wang nivune bas bana moyo ukaanza kusherehekea ushindi nikatoka live score baadaye naenda kucheki pm nakuta hela bado kuchek mkeka ety lost yaan sikuamin walitoka 2:2 kwel mpira dk 90 yaan unaweza sema kuna uchawi ety.
Ha ha ha ha ha kuna muda unaweza kuhisi labda umerogwa. Hii kazi fixed, ndumba & bahati inahusika sana!
 

Similar Discussions

227 Reactions
Reply
Back
Top Bottom