Mimi napiga zangu hela kwenye online casino huko. Ndani ya nusu saa tu unakuwa tajiri au maskini
Kampuni ganiMimi napiga zangu hela kwenye online casino huko. Ndani ya nusu saa tu unakuwa tajiri au maskini
Download princess bet wanaanalyze mtokeo kbsMkuu volleyball ina kipindi cha kwanza? Au mgeni ndo unajifunza?
Aisee hii manake ni nini hasa? Kama najichanganya sana kutafsiri hiv ila mech imeisha saiv na ni greenView attachment 1212556
Huyo dundalk si ameshinda goal moja hiyo VIP wamesema huo mkeka boom vipi wakati option waliweka 2&2+
Naomba kuuliz wadau hii option inaanisha ndani ya dakika 10 za mwanzo jamaa wasifungane ndo unapata mpunga au ndani ya dakika 90 hadi ziishe lisipatikane goalView attachment 1212664
Oky ukiweka none inaama hakuna ndani ya hizo dakika 10 za mwanzo??Ndani ya dk 10 za mwanzo goal la kwanza lipatikane boss
Oky ukiweka none inaama hakuna ndani ya hizo dakika 10 za mwanzo??
Mimi napiga zangu hela kwenye online casino huko. Ndani ya nusu saa tu unakuwa tajiri au maskini
Naomba kuuliz wadau hii option inaanisha ndani ya dakika 10 za mwanzo jamaa wasifungane ndo unapata mpunga au ndani ya dakika 90 hadi ziishe lisipatikane goalView attachment 1212664
hapo game inakua ipo ndani ya mafungu ya dakika kumi(10) kumi(10), ukiweka none maana yake lisipatikane goli ndani ya dk 10 zozote yaani from 0-10 kusiwe na goli, 11-20 kusiwe na goli, hivyo hivyo from 21-30,31-40……81-90Ndani ya dk 10 za mwanzo goal la kwanza lipatikane boss
Bitstarz casinoKampuni gani
hapo game inakua ipo ndani ya mafungu ya dakika kumi(10) kumi(10), ukiweka none maana yake lisipatikane goli ndani ya dk 10 zozote yaani from 0-10 kusiwe na goli, 11-20 kusiwe na goli, hivyo hivyo from 21-30,31-40……81-90
Acha tu, mimi nacheza roulette kuna siku unakuwa na bahati unavuna tu hela na kuna siku ya gundu unaliwa tuHahaha ... umenikumbusha Virtual Games, hatari sn. Yani ni either unatajirika ndani ya dk 10 ama unafirisika ndani ya huo muda.
Idiot msaada mkuu,katika huo mchanganuo unatumia strategy gani. Naomba unidadavulie mkuuMpwa idiot uko wapi leo. Tuanzishie weekend mkuu. !!!
Naikubali sana confidence yako mkuu. Sisi wengine tukiliwa hata elfu tano unaumwa na kuumwa mkuu