chonde chonde wakuu hapo weka nyumba na unachomiliki CHELSEA LAZIMA AFE ZA KUTOSHA ....MIMI NAWEKA 100,000View attachment 1205662
chonde chonde wakuu hapo weka nyumba na unachomiliki CHELSEA LAZIMA AFE ZA KUTOSHA ....MIMI NAWEKA 100,000View attachment 1205662
Weka apa mkeka tukuone
hahaha acha madharau mkuuHawezi kuweka hiyo pesa zaidi ataweka 1000
ndo natengeneza treni nikimaliza nafunga na hiyo super singleWeka apa mkeka tukuone
Utani kidogo mkuuhahaha acha madharau mkuu
Hela imeeshaondoka hiyo..Subiri tu uthibitshe red colour kwenye mkeka wakoMsaada please!!hivi betpawa ukiplace mkeka kwa bahati mbaya unafanyaje ili ukancel?
SindioMa odds kama yote weka 1000 ule million au sio mzee baba
Msaada please!!hivi betpawa ukiplace mkeka kwa bahati mbaya unafanyaje ili ukancel?
Dah ingekuwa playmaster,unge-cancel bet na kurudishiwa unitsHela imeeshaondoka hiyo..Subiri tu uthibitshe red colour kwenye mkeka wako
vipi nikiwasiliana nao hawawezi kurefund?Dah ingekuwa playmaster,unge-cancel bet na kurudishiwa units
Kaka hakuna hicho kitu betpawa..ubishi wa nini?vipi nikiwasiliana nao hawawezi kurefund?