Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,491
- 10,480
Vigezo na masharti kuzingatiwa kabla ya kupewa mkwanjaSio lazimq uende ndipo upewe mkwanja wako sijaona kanuni inayosema tutashikilia pesa yako endapo hutakuja kutwanga photo hapa ofisini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vigezo na masharti kuzingatiwa kabla ya kupewa mkwanjaSio lazimq uende ndipo upewe mkwanja wako sijaona kanuni inayosema tutashikilia pesa yako endapo hutakuja kutwanga photo hapa ofisini
UKikataa wana suspend account na kilichomo?mfano bikosports wameandika kabisa kule chini kama sio "jinsi ya kubet" basi "kuhusu sisi"
Ukishinda, watakuwa na mamlaka ya kutumia taarifa zako kibiashara kama picha, sauti video kwa mwaka mzima tangu siku ya ushindi wako.
Hakutakuwa na malipo yoyote kwa kazi hiyo na hutakuwa na uhuru wa kukataa.
Yaani ukisoma zile TC's hutakuwa na hamu nao kubet kabisa.
Ukikataa wana suspend account na kilichomo?Vigezo na masharti kuzingatiwa kabla ya kupewa mkwanjaView attachment 1204954
Sawa mkuuOndoa wasiwasi.
Hapo ndo ujikute mzee wa kanisa, umepiga milioni zako 14. Sijui utaziacha kuficha aibu mbele ya kanisa lako na waumini wenzio au utakubali tu kupata fedheha huku ukitoa sadaka iliyonona na fungu la kumi pasipo manung'uniko ?mfano bikosports wameandika kabisa kule chini kama sio "jinsi ya kubet" basi "kuhusu sisi"
Ukishinda, watakuwa na mamlaka ya kutumia taarifa zako kibiashara kama picha, sauti video kwa mwaka mzima tangu siku ya ushindi wako.
Hakutakuwa na malipo yoyote kwa kazi hiyo na hutakuwa na uhuru wa kukataa.
Yaani ukisoma zile TC's hutakuwa na hamu nao kubet kabisa.
Watz tuna akawaida ya ku-accept tu na kujaza kila kitu bila kusoma vigezo na masharti tunapojiunga na hizi kampuni.UKikataa wana suspend account na kilichomo?
Kuna nini mkuu!!?Usiingie boss .
Mkuu namaanisha hata ikitokea nimeshinda matangazo wala mambo ya kupigana picha yasiwepo yani iwe kimya kimya kama napokuwa nimepoteza!Kampuni zote unamalizana nao kimyakimya
Mkuu shinda kwanza tuone kama watakupostiMkuu namaanisha hata ikitokea nimeshinda matangazo wala mambo ya kupigana picha yasiwepo yani iwe kimya kimya kama napokuwa nimepoteza!
Kwahiyo kampuni nzuri ni ipi mkuu!?Mkuu shinda kwanza tuone kama watakuposti
mkuu mishen na ndoto za wanakundi hili ni kushinda na sio kutafuta kampuni isiyo kuanika baada ya kushinda. Chamsingi shinda kwanza ndipo uone kama watakutangaza jiunge na kampuni yoyote bongo yenye kukupa options nyingiKwahiyo kampuni nzuri ni ipi mkuu!?
Wameniingizia leo wahuni sana haoHao wahuni nilideposit pesa yangu wiki ya pili haijaingia kunako akaunti,wapuuzi sana
Unadhani wanaokwenda pale wanapendaUkikataa wana suspend account na kilichomo?
Watanzania wengi hatuna utamaduni wa kusoma terms and conditions kabisa.Unadhani wanaokwenda pale wanapenda
Terms and conditions applied mkuu
Tatizo hatusomi terms and conditions
*Bet9ja👉🏿Z562M26N*
1660 UEFA Champions League, Women
Fiorentina Women FC - Arsenal Ladies
Over(2.5) *1.43*
2594 Esiliiga
Parnu JK Vaprus - FCI Levadia Tallinn U21
Over(2.5) *1.50*
Odd👉🏿 *2.15*