KANYIMBI
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,156
- 4,309
Niliachana na Sportpesa kwa sababu ya hii tabia ya kuitwa ofisini ukapige nao picha. Huku Betpawa haikuwepo hii kitu, nakumbuka niliwahi kulamba mil.8 huku Betpawa mzigo uliingia kimyakimya. Haya matangazo yao ya sasa sio poa kwa sisi MabahariaKwakweli hata Mimi tabia ya kuwekana kwenye matangazo siipendi