SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,409
- 23,693
Mkuu direct win ni ngumu mno. Mie nakomaa na treni tu. Odds 3, 4, 5, 6 mpaka 7. Si kwamba nakula daily, hapana, ila nikila mmoja katika mitano, ni PESA.mkuu jamaa wamefanyiwa come back na kikosi chao kabisa wakatiwa cha ushindi bila kufurukuta. aisee kwa namna hii bora matrain tu ya jero jero hii kuchukua game 2,3 unatia mpunga mrefu ni hatari saana... imagine wiki nzima odd3 tu mkeka unapasuliwa na tim moja. jana odd 2.4 psg anakimbia na pesa yangu