Watu wakiambiwa fixed zipo hawaamini wanalia tuuu eti utapeliNimeandika ninachokijua VAR ya England hii ilionza wiki Jana sio Kama VAR iliotumika Africa au world cup uingereza wanafuata Kama ilvyoandikwa hawapindishi Jambo lakin ukiangalia na ukaistudy vizuri kwa gamehz chache zinambeba bookies nasio mkamaria
Mimi sijaanza kubeti leo nipo namiaka Zaid ya kumi enzihzo tunaenda pale newafrica hotel hvyo nikikwambia kanunuliwa kwstimu ujue kupo tenasana tuu fixed zimo Sana enz zile ila saiz zipo ila kwa usir mkubwa Sana Yan tangu blatter kaondoka wenye mipira huko wakaanza kumwaga alichoshikilia Kama n unga anamwaga, jiko anavunja, mwenye glass anapasau Yan tukose wore ndomana huku Africa fixed haziji na zimekuwa ghali Sana kuzipata.
Pale Ladbrokes watu walikuwa wanaweka Hadi USD 50,000 Yan game Moja mtu anaweka USD 5000 Mara 10
We unazo?Watu wakiambiwa fixed zipo hawaamini wanalia tuuu eti utapeli
Watu wakiambiwa fixed zipo hawaamini wanalia tuuu eti utapeli
Comments fupi fupi jamani ...
Odd zote zinatoka kwenye source moja kuzuia arbitrageTimu kubwa hazinunuliwi Bali zinalazimishwa kutokushinda au kutoa matokeo yaliyobetiwa kwa wingi tafuta ile video ya ile handball ya city angalia uniambie n ball to hand au n handball
Sijasema city kanunuliwa mnielewe ila timu n nyingi zinanunuliwa.
Kila muda unavyozidi kwenda watu ndo wanaxid kuliwa na wanaxidi kuwa mateja wakudhan wanaweza shindana na bookies jiulize kwann sites xote huwa hazitofautian odds Yan huwa xinaendanaendana kwann hukuti leo pigabet wamempa Simba 1.5 na ukienda Ladbrokes unakuta Simba ana odds 4
Mkuu haya mambo tuyaache bana kila mtu aamini anavyo aminiFixed zipo na haziwez kukosekana ila AFRICA na watu wenye kipato chachin n ngumu kupata ila kipindi Cha blatter fixed tulikuwa tunaenda New Africa hotel pale tunasubiri wadosi waje wakija anakwambia leo man u anafungwa kipindi chakwanza full time anashinda au anakwambia Madrid leo droo kakope pesa ucheze kesho uumpe hell yake nakwel zinatoa.
Unafkir kibur Cha kina Mino Raiyola kinatokana na commission za kina Pogba na morinyo n kufanikiwa dili Kama hz ndomana wanaendesha magari makali na wanajeuri,kibur na nyodo za pesa kuzid wenye mpira wao.
Nenda India huko kunawahindi wanapesa mpaka wanaumwa sababu ya fixed
Jiulize timu za China zinapata wapi pesa za kusajili gharama vile wakati kwanza n taifa lililochipukia hv juz kwa utajir na mpira wa mguu kwa sio priority
mkuu jamaa wamefanyiwa come back na kikosi chao kabisa wakatiwa cha ushindi bila kufurukuta. aisee kwa namna hii bora matrain tu ya jero jero hii kuchukua game 2,3 unatia mpunga mrefu ni hatari saana... imagine wiki nzima odd3 tu mkeka unapasuliwa na tim moja. jana odd 2.4 psg anakimbia na pesa yanguUliamini anashinda au sio? hutoamini sana mzee... hamna mtu mwenye guarantee ya ushindi
Psg rennes anamsumbuaga sana hasa akiwa home hata akishinda ni kwa mbinde sanaUliamini anashinda au sio? hutoamini sana mzee... hamna mtu mwenye guarantee ya ushindi
Soma mzee wengine n walimu wachekechea wanatumia muda mwingi kuakikisha mtoto anaekewa.
Acha uvivu
Sio kama sijui kuwa fixed zipoFixed zipo na haziwez kukosekana ila AFRICA na watu wenye kipato chachin n ngumu kupata ila kipindi Cha blatter fixed tulikuwa tunaenda New Africa hotel pale tunasubiri wadosi waje wakija anakwambia leo man u anafungwa kipindi chakwanza full time anashinda au anakwambia Madrid leo droo kakope pesa ucheze kesho uumpe hell yake nakwel zinatoa.
Unafkir kibur Cha kina Mino Raiyola kinatokana na commission za kina Pogba na morinyo n kufanikiwa dili Kama hz ndomana wanaendesha magari makali na wanajeuri,kibur na nyodo za pesa kuzid wenye mpira wao.
Nenda India huko kunawahindi wanapesa mpaka wanaumwa sababu ya fixed
Jiulize timu za China zinapata wapi pesa za kusajili gharama vile wakati kwanza n taifa lililochipukia hv juz kwa utajir na mpira wa mguu kwa sio priority
Yani full magazetiComments fupi fupi jamani ...
Sasa mzee si ulete hizo fixed watu waamini?Watu wakiambiwa fixed zipo hawaamini wanalia tuuu eti utapeli