mwanyumba2020
Member
- Jul 2, 2018
- 62
- 35
hata mmi nashangaaa
Ata siamini huu mpira anaocheza Chelsea ni wao ama wamekopa sehemu.
Ata siamini huu mpira anaocheza Chelsea ni wao ama wamekopa sehemu.
UMETEMAAAAA WOTE OV 2.5 KAMA ULIFWATAAAAA GNYTCHAGUA 4 -5
WEKA OV 2.5 KALALEEEView attachment 1181363
Hatujambo Mkuu! Tunaendelea vyema!Nawasalimu tu wadau wenzangu, sijapita hapa siku nyingi, natumai mapambano yanaendelea.
Ref
Kazi yoyote ili ufanikiwe lazima uwe na nidhamu, hivyo tuwe na nidhamu. Tuache ule mchezo wa kuweka makokoro ambayo mwisho yanatupeleka kwenye kipigo.
Cheza game ulizozifanyia analyse tu. Odds ziwe 2-3.
Nawatakia kazi njema.
Ngoja nirudi tena na yellow card kwakina livaView attachment 1181594
Hii mechi ni moja wapo ya mechi chache duniani zenye kuwa na uhakika.
1 Win. Home win. Liverpool win. Chelsea loose.
Hivi Parimatch inachukua muda gani ukiwithdraw peas? ... kuna mwenye mawasiliano yao zaidi ya email?
Natanguliza shukran !
Green..........
Niko hapa.Wale wa liverpool win mko wapi
Hivi kuna watu bado wanaitumia hii kampuni?Wadau.....ni kweli Mbet wana App mpya?Msaada please