Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,744
Kwa kweli.Labda ashindr jackpot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli.Labda ashindr jackpot
Hii mechi ni moja wapo ya mechi chache duniani zenye kuwa na uhakika.Sioni Chelsea anashindaje hii game. Labda km Liverpool hawana interest na hili kombe. Ukinzingatia Chelsea wanamkosa kiungo wao tegemezi Ng'olo Kante
Hahahaa, ikitokea Chelsea akashinda leo mbele ya Liverpool yenye kikosi matata ulimwengu basi litakuwa ni tukio la aina yake kwa club ya Chelsea msimu huu. Yaani itakuwa walituadaa sisi mashabiki ili tuelewe ni wabovu kumbe walikuwa wanatusomea upepo tu.
Tunajua ushabiki ndo tatizo.Liverpool hatashinda leo
Haya maswali kilasiku yabaulizwa na majibu yanatolewa..Write your reply...wakuu naomba kuuliza kampuni nzuri ya kubet online hasa mchezo w mpira ni ipi natak ningie ulingo w betting?
Ipo play store?Betswall
Mkuu sioni tip zakoWatu ni kama hatujifunzi kabisa humu ndani
Kila msimu kilio huwa ni direct win, na kilio kinaendelea hivi hivi hadi msimu utaisha
Inaoneka ni kama mtu ukiona tu jina kubwa la timu basi ni kuipa direct win au double chance
Jaribu kutafiti wadau wanao aminika kwa kutoa tips hapa jukwaani wanatumia zaidi options zipi? Na mara nyingi zina kuwa na mafanikio
Liva leo atasepa na pesa za watu
Utapigwa za uso bro! Nakushauri, ni bora utafute OVERNataka kutake risk wadau kwenye jackpot ya sport pesa over 800,000,000. Naitaji.mawazo yenu wadau kwani humu kuna watalamu na wabobezi katika hii fani. Kiasi nilichokiandaa ni 800,000 hii pesa niko willing kuipoteza .
Nacho hitaji kufanya kila wiki nataka nitumie 100,000 nitengeneze mikeka 50 mfululizo kwa wiki 8 nione kama naweza angukia bahati yangu. Najua mikeka 50 nimichache kupata matokeo halisi ndio maan a nimekuja kuomba ushauri katika uchambuzi wa timu kwani nikichambua mwenyewe nitakuwa buyers .
Najua kuna alternative nyingi za kumpiga muhindi ila betting/gambling ni ileile mwenye mawazo na ushauri naombeni tafadhaliView attachment 1181023