Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,908
hao ndo wadau wa makampuni,nwendo wa kuingizana chakaHata kwa kuchomoa betri haiwezekani.
hao ndo wadau wa makampuni,nwendo wa kuingizana chakaHata kwa kuchomoa betri haiwezekani.
Mkuu mbn naona green sana kwako..jana cjui juzi nimeona ule umepiga 31K na si huo tuu!hahaha ..mkuu Nina lost mpaka machozi yananilenga
Chelsea hawezi kumtikisa Liverpool kwa sasa kuna wakati macho husema kweli hata kama tukio bado halijatokea.hao ndo wadau wa makampuni,nwendo wa kuingizana chaka
Chelsea hawezi kumtikisa Liverpool kwa sasa kuna wakati macho husema kweli hata kama tukio bado halijatokea.
Hii game hata kama nina milioni 100 ukiniambia nicheze direct win siwezi kusita kumpa Liverpool.
Leo Liverpool akipigwa basi sitakaa nicheze direct win tenaaaaaa
leo direct win
Chelsea win
5.25odd
Uhakika
Kuna app moja hivi wanakutana wazee wa betting nikumbusheni nikaicheki
hatari kwanin mkuu ashinde
Mimi toka nigundue uwezo wa timu yangu ni mdogo huwa sibet kishabiki..Mashabiki wa Chelsea utawajua tu
Kwenye mpira bahati huambatana na kikosi bora. Hivi leo Zuma ndiye anakuwa nyuma kupambana na ile safu ya mashambulizi ya Liverpool kisha utegemee bahati?!!!!Chelsea ni wabaya sana mbele ya kombe. Hawa jamaa huwa ni hatari sana wana bahati sana na makombe kama yule jamaa anajiita cr7. Usije Shangaa hii game ikaamuliwa kwa matuta, hii game nashauri leo tuwe watazamaji tu.
Mimi toka nigundue uwezo wa timu yangu ni mdogo huwa sibet kishabiki..
Kuna kipindi Simba kaenda Misri kapigwa 5 nilifurahi kwa sababu ilinipa pesa ila niliumia kwa sababu ni timu yangu. Furaha na raha kwa pamoja.
Liverpool hajafikia kiwango cha kufungwa na Mbeya City ya Uingereza.
Kwenye mpira bahati huambatana na kikosi bora. Hivi leo Zuma ndiye anakuwa nyuma kupambana na ile safu ya mashambulizi ya Liverpool kisha utegemee bahati?!!!!
Tuwe serious na mpira, bahati tumwachie bukuku.
Fainali ya UEFA ilikuwa ngumu kujua bingwa ni nani kutoka na ubora wa timu zote mbili. Ila hii Super Cup hata asiyejua kubet leo anapata pesa mapema sana.Hahahaa, ikitokea Chelsea akashinda leo mbele ya Liverpool yenye kikosi matata ulimwengu basi litakuwa ni tukio la aina yake kwa club ya Chelsea msimu huu. Yaani itakuwa walituadaa sisi mashabiki ili tuelewe ni wabovu kumbe walikuwa wanatusomea upepo tu.
Liva leo atasepa na pesa za watu