Mimi hata ikicheza Barcelona na Mwadui, siweki DIRECT WIN. Muwe mnajifunza jama. Jama mechi zote za UEFA zimetoa over 1.5, na 95% zimetoa over 2.5 kabisa ila mtu anaenda kukomaa Porto ashinde ... Celtic ashinde ... n.k mwishowe anakuja kutoa kilio kwamba Kanji mchawi, matokeo yameenda kinyume... Ajax anaanza kufungwa yeye, Celtic kaanza kufungwa yeye, Porto katiwa kabisa, Barnsley alikuwepo Home tena kwenye Cup akicheza na Carlisle, na akapigwa tatu bila, wa magoli kacheka wa Win anakuja mwaga machozi hapa.

Hayo ya nani atashinda mwachie Mungu wako, bangaiza na magoli, huwezi kosa mara kwa mara. Magoli ndo njia ya kuelekea ushindi, magoli pia yaweza kurandana na draw, yakikosekana magoli hata win hakuna, huoni?

Na acha kulazimisha ucheze daily. Kwamba kila siku wewe ubet, NO, kagua mechi na si siku. WEKA MKEKA KWA KUJIRIDHISHA NA MECHI na si kwa kuwahi kupata pesa alafu hatimaye hutoboi kitu. Si ajabu mkeka kuchukua siku mbili, tatu, hata nne.

Tazama leo, kama game unayoielewa ipo, weka. Kama hakuna nyingine tumia app yako kwenda kutazama games za kesho pia na hata keshokutwa na keshokutwa...
 
Leo ni Leo Cluster 1.
Screenshot_20190814-172317~2.jpeg
 
Mashabiki wa Chelsea utawajua tu
Mimi toka nigundue uwezo wa timu yangu ni mdogo huwa sibet kishabiki..

Kuna kipindi Simba kaenda Misri kapigwa 5 nilifurahi kwa sababu ilinipa pesa ila niliumia kwa sababu ni timu yangu. Furaha na raha kwa pamoja.

Liverpool hajafikia kiwango cha kufungwa na Mbeya City ya Uingereza.
 
Chelsea ni wabaya sana mbele ya kombe. Hawa jamaa huwa ni hatari sana wana bahati sana na makombe kama yule jamaa anajiita cr7. Usije Shangaa hii game ikaamuliwa kwa matuta, hii game nashauri leo tuwe watazamaji tu.
Kwenye mpira bahati huambatana na kikosi bora. Hivi leo Zuma ndiye anakuwa nyuma kupambana na ile safu ya mashambulizi ya Liverpool kisha utegemee bahati?!!!!

Tuwe serious na mpira, bahati tumwachie bukuku.
 
Hahahaa, ikitokea Chelsea akashinda leo mbele ya Liverpool yenye kikosi matata ulimwengu basi litakuwa ni tukio la aina yake kwa club ya Chelsea msimu huu. Yaani itakuwa walituadaa sisi mashabiki ili tuelewe ni wabovu kumbe walikuwa wanatusomea upepo tu.
Mimi toka nigundue uwezo wa timu yangu ni mdogo huwa sibet kishabiki..

Kuna kipindi Simba kaenda Misri kapigwa 5 nilifurahi kwa sababu ilinipa pesa ila niliumia kwa sababu ni timu yangu. Furaha na raha kwa pamoja.

Liverpool hajafikia kiwango cha kufungwa na Mbeya City ya Uingereza.
 
Mkuu lolote laweza tokea, bahati ni kitu kingine kabisa yaani kama ipo ipo tu ata kama ukiwa mbovu kiasi gani. Ata mimi sikutegemea kama Liverpool angeweza kumtoa Barcelona kwenye nusu fainali ya uefa tena akiwa kwake huku akiwa nyuma ya goli 3 kwahiyo ile ilikuwa ni bahati tu na si vinginevyo.
Kwenye mpira bahati huambatana na kikosi bora. Hivi leo Zuma ndiye anakuwa nyuma kupambana na ile safu ya mashambulizi ya Liverpool kisha utegemee bahati?!!!!

Tuwe serious na mpira, bahati tumwachie bukuku.
 
Hahahaa, ikitokea Chelsea akashinda leo mbele ya Liverpool yenye kikosi matata ulimwengu basi litakuwa ni tukio la aina yake kwa club ya Chelsea msimu huu. Yaani itakuwa walituadaa sisi mashabiki ili tuelewe ni wabovu kumbe walikuwa wanatusomea upepo tu.
Fainali ya UEFA ilikuwa ngumu kujua bingwa ni nani kutoka na ubora wa timu zote mbili. Ila hii Super Cup hata asiyejua kubet leo anapata pesa mapema sana.

Liverpool kwa sasa ni timu daraja la kwanza hivyo hata wachezaji wake huelewa nini kinatakiwa kufanywa uwanjani . Chelsea imeanza upya haiwezi kuhimili vishindo vya Liverpool.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom