mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,913
Mm nime withdraw ela imekatwa lakini haijafika kwangu ilikuwa jana usku nmewachek wanasema wanashughulikua tatizo langu halafu sasa asubuhi nime withdraw fresh ikatoka
Deposit kutoka Mpesa kwenda Betpawa inazungua toka jana usiku, voda wanasema huduma haipatkani kwa sasa, kuna mdau aliyekutana na tatizo kama hili?