Hii ya under 2.5 first half nimeijaribu leo kwa game kumi, tena nilifanya randomly bila ya kufanya analysis nikapata odds 3 ila timu moja tu ndo imezingua.Kibongo bongo sijawahi kukutana na game yenye option ya under 2. Hii unayosema wewe mkuu ni under 2.5; nimependa akili uliyotumia kumpiga muhindi, ngoja na mimi nijaribu labda hela ya kubadilisha mboga nitakuwa siikosi.
wazee hamnaga Group la 1XBET mniadd wakuu.....
Nami natafuta mkuu
Msaada tafadhaliNaombeni namba ya kampuni ya mkekaBet na pia namba ya kumbukumbu
Kila kitu kipo wazi kweny website yao au app yao..unakwama nini Kisiki kibichi?Wazee naombeni msaada Namba ya kampuni ya mkekabet
Wazee naombeni msaada Namba ya kampuni ya mkekabet
BIG WOOONLet us win together View attachment 1131801
@thomasmwaimu muhindi kalia hukoLet us win together View attachment 1131801
Karibu sana.Shukran kiongozi, Line langu nimeipata
Mkuu hamia pmbetDeposit kutoka Mpesa kwenda Betpawa inazungua toka jana usiku, voda wanasema huduma haipatkani kwa sasa, kuna mdau aliyekutana na tatizo kama hili?
Ngoja niijaribu, vp ina VAT na kudeposit wanakata?Mkuu hamia pmbet
Hii ya under 2.5 first half nimeijaribu leo kwa game kumi, tena nilifanya randomly bila ya kufanya analysis nikapata odds 3 ila timu moja tu ndo imezingua.
Hii sijawahi ifikiria.. ila naona inaweza kuwa nzuri hasa ukituliza akili. View attachment 1131940View attachment 1131941
Haina VAT na kudeposit wanakata kiasi kidogo sanaNgoja niijaribu, vp ina VAT na kudeposit wanakata?
Mkongwe upo?Haina VAT na kudeposit wanakata kiasi kidogo sana
Nipo bwana mkubwa za masikuMkongwe upo?
Deposit kutoka Mpesa kwenda Betpawa inazungua toka jana usiku, voda wanasema huduma haipatkani kwa sasa, kuna mdau aliyekutana na tatizo kama hili?