Niliweka zote za Jana isipokua Hungry ilokuchania ww, na za Leo isipokuwa Belarus vs Ireland hao nao hawatabiriki. Wales na Turkey wakikaza kesho nipe number yako PM nikurushie mtaji wa betting

Niliweka zote za Jana isipokua belarus ilokuchania ww, na za Leo isipokuwa hungury vs hao nao hawatabiriki. Wales na Turkey wakikaza kesho nipe number yako PM nikurushie mtaji wa betting
 
Niliweka zote za Jana isipokua Hungry ilokuchania ww, na za Leo isipokuwa Belarus vs Ireland hao nao hawatabiriki. Wales na Turkey wakikaza kesho nipe number yako PM nikurushie mtaji wa betting
Ntakuchek kiongozi
 
Pesa y'all betting inapanda na kushuka zaidi y'all soko LA hisa. Ila ukicheza vizuri hela IPO.
 

Attachments

  • Screenshot_20190611-140609.png
    Screenshot_20190611-140609.png
    31.5 KB · Views: 24
Pesa y'all betting inapanda na kushuka zaidi y'all soko LA hisa. Ila ukicheza vizuri hela IPO.
Mkuu naona odds 11 hapo siseee daaaaah ilibidi uweke fungu ili usibeti mwezi mzima huu.

Sipati picha ingejisogeza kwangu hiyo aisee leo myana moja wapo angefariki dunia
 
Niliweka zote za Jana isipokua Hungry ilokuchania ww, na za Leo isipokuwa Belarus vs Ireland hao nao hawatabiriki. Wales na Turkey wakikaza kesho nipe number yako PM nikurushie mtaji wa betting
Mkuu Tafadhali nielekeze mechi ya Chile wameandika INTERUPTED kabla haijaisha, je hii inamaanisha nn au ndo gemu itarudiwa
 
Duh! Nineipenda Bure Mkuu.
Ngoja Nicheze Na Mimi Hizi Over 0.5! Naweka 20,000!

Half time, tisini imeingia chap chap

1124951


------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

1124952
 
Niwakumbushe tena wanajamvi wenzangu sio lazima kubeti kila siku jamani

Kuna siku zinanona mechi zinaonekana uchi wa mnyama ila kuna siku MECHI NYINGI UNAKUTA ZIMEVAA NGUO na Macho zinaziba hapo jitahidini tu kupumzika.
Niwakumbushe tena wanajamvi wenzangu sio lazima kubeti kila siku jamani

Kuna siku zinanona mechi zinaonekana uchi wa mnyama ila kuna siku MECHI NYINGI UNAKUTA ZIMEVAA NGUO na Macho zinaziba hapo jitahidini tu kupumzika.
Nikweli mkuu
 
Niwakumbushe tena wanajamvi wenzangu sio lazima kubeti kila siku jamani

Kuna siku zinanona mechi zinaonekana uchi wa mnyama ila kuna siku MECHI NYINGI UNAKUTA ZIMEVAA NGUO na Macho zinaziba hapo jitahidini tu kupumzika.
Sio lazima mkomae na football mbona Leo kwenye tennis kumenoga..wanagawa pesa...!
 
Muwe mnaelewesha watu kuhusu huo mchezo wa Tenis...watu waufahamu unachezwaje then ndio useme Tennis kumenoga...



Watu watavamia bure na kupigwa na kaka Kanji
Naomba mnielekeze jinsi ya kubet na kampuni gani nzuri kwa tunaojifunza na michezo ipi inafaa maana kila nikisoma comments sielewi kitu!
 
Naomba nielekeze jinsi ya kubet.
Ndugu yangu mambo ni mengi na muda ni mchache sana kukuelekeza namna ya kubet

Inatakiwa kwanza anza kujiongeza wewe kwa kufanya utafiti kujua abc za kubet
Hebu fanya ku google basi

Nakushauri anza na betpawa kisha deposit hata 1000 tu
Uanze kwa kujifunza na stake hata za sh 10 uone yaliomo yamo?

Bofya link kwa msaada zaidi
 
Asa
Ndugu yangu mambo ni mengi na muda ni mchache sana kukuelekeza namna ya kubet

Inatakiwa kwanza anza kujiongeza wewe kwa kufanya utafiti kujua abc za kubet
Hebu fanya ku google basi

Nakushauri anza na betpawa kisha deposit hata 1000 tu
Uanze kwa kujifunza na stake hata za sh 10 uone yaliomo yamo?

Bofya link kwa msaada zaidi
Asante mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom