Imma Fabo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 437
- 784
Ase mkuu niliwahi fata hii strategy yako kipindi cha 1xbet nikaanza na mtaji wa 10k nikaukuza wee hadi 70k....kilichotokea...wenge la kutaka kila mechi,nilichezea za uso kinomaa...Upo sawa Mkuu, sio tu kubet kila siku kuna mtu anataka kubet kila mechi. Sasa Kwa style hiyo lazima vilio vitawale unatakiwa Kujua ni lini, wapi na muda gani nibet kutokana na strategy yako sio all the time. Ndio maana hata wale wa forex wana siku za kutrade sio kila siku na sio all the time.
Sent using Jamii Forums mobile app
kabigwa la pili
tupe njia za kuingia chimbo
tupe njia za kuingia chimbo
Meridian hii kakaWap huko tena
Kitambo sana site yake jmos inajaaMeridian hii kaka