Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,881
- 38,506
Aisee, mi nilikuwa nahesabu point au wanapataje hiyo 1:2 maana sielewiLoss hiyo mzee si unaona score ni 1:2
big up sana mkuu umenitia moyo yani ukiokota okota hukosi chochote aiseeAsante mkuu, kokolo lako la Jana limenichekesha kizungu leo, niliamshanalo kama mechi5 ivi, zote zimetik
Hapo inaangaliwa kila set walizocheza. Mfano set ya kwanza wametoka 6:7 hapo ina maan hiyo set ameshinda huyo alopata point 7 hivyo kwenye score board huyo aloshinda anahesabiwa kashinda goli moja. Hivyo hivyo kwa set zinanzofuata mpaka mshindi anapatikana.Aisee, mi nilikuwa nahesabu point au wanapataje hiyo 1:2 maana sielewi
Shukrani sana mkuu,Hapo inaangaliwa kila set walizocheza. Mfano set ya kwanza wametoka 6:7 hapo ina maan hiyo set ameshinda huyo alopata point 7 hivyo kwenye score board huyo aloshinda anahesabiwa kashinda goli moja. Hivyo hivyo kwa set zinanzofuata mpaka mshindi anapatikana.
Wewe ni zaidi ya mwanamgambo wa al qaida
Mkuu leo naona umeamua...ngoja tuu nikufate
Apo si unaona set zime chezwa 3 (1-2)Msaada kwa mnaobet Tenesi, hapo match ya mwisho ni kweli LOSS au kuna kitu sielewi? View attachment 879684
Nimecheza kwa System betWewe ni zaWewe ni zaidi ya mwanamgambo wa al qaida
Acha kutia gundu basi....Ac milan leo anaenda kuliza watu...
LossMsaada kwa mnaobet Tenesi, hapo match ya mwisho ni kweli LOSS au kuna kitu sielewi? View attachment 879684
Hii mkeka unauchana mwenyewe