Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,718
- 6,441
Iyo nzuriNatia lak3. Potelea pote. Single Croatia win.
Iyo nzuriNatia lak3. Potelea pote. Single Croatia win.
Weka double chanceIyo nzuri
Nayo sio Mbaya....yaani 1/XWeka double chance
Una maanisha million elfu moja?Hivi hii kampuni ya 1xbet ukishinda shilingi bilioni 1utapewa kweli au ni utapeli tu?
NdiyoUna maanisha million elfu moja?
Wala usipate mashaka mkuu na 1xbet tunachokikosea sisi ni ktk setting zetu wenyewe,ktk ile app ya 1xbet,yaan nkisikia hivi huwa napata wasiwasi kweli
Mkuu nielekeze namna ya kuiweka hii working current mirror offWala usipate mashaka mkuu na 1xbet tunachokikosea sisi ni ktk setting zetu wenyewe,ktk ile app ya 1xbet,
Kuna option 2 ambazo ukiziweka on (Ukiziactivate)aisee haya matatizo utalia nayo daily.
1.Participate in bonus program -Hii ukiweka on utalia japo mi sijawahi kuiweka on ila kuna mtu aliiweka on sasa kila akitoa hela iligoma but nikamwambia aiweke off yaani haikupita hata dk 3 akanambia imekubali kutoka.
2.Working current mirror -Hii option nayo ni janga ukiiweka on,hii mm ilinikuta nilideposit hela kwenda 1xbet through Tigopesa,pesa ilikaa pesa ilikaa pending karibu wiki baada ya kuwatafuta sana M-LIPA walipocheck wakasema hela mbona ipo pending tu wala kwao haijafika hivyo wakawaambia Tigo wairudishe kwangu na nikapata tena baada ya SAA 24.
Hivyo wakuu tuviangalie hivyo vi option sio kabisa viweke off always kuepuka usumbufu.
Click kwenye neno setting utaziona hizo optionMkuu nielekeze namna ya kuiweka hii working current mirror off
Shukran niliipataClick kwenye neno setting utaziona hizo option