Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Neymar anawatakia usiku mwema
mmmmmmmmmh! x/1 ilikua na odd ya ngapi mkuu?weka nyumba hela hioo tukutane asbh
kizuri kula na nduguyoView attachment 614790
Yaani dah kazingua sanaPsg umeniuwa daaaa hili kweli ni gundu ngoja nikaogee magadi
Hili kuku motivate uendelee kupambambanaMkuu mbona unaleta mikeka ukishashinda!??
Umecheza fresh kweli huu mchezo wa bahati nasibuHii dunia kanju amefanya naona kama niko jehanam daa inauma asee mtaji umeisha sijui hatakesho nitaamkaje, daa dume zima namwaga chozi ila ipo siku yake tu
Tuletee before nasi tutembelee nyota yako otherwise usiwe waleta kutuumiza mioyoHili kuku motivate uendelee kupambambana
Saiz kila timu ikikutana na izi znazoshinda kila mechi zinakazianaga sana, inabid tujitahid kuliona hili naloUmecheza fresh kweli huu mchezo wa bahati nasibu
Wewe unayesema tusilete unaongea kama nani ktk hili jukwaa!.nadhani ni mgeni humu na kwanini unaumia roho wakati anayeliwa ni Kanji?wa kwako ulioleta uko wapi?Je ni mara ngapi tunaleta hapa na mnashindwa ku copy?Tuletee before nasi tutembelee nyota yako otherwise usiwe waleta kutuumiza mioyo
Mkuu alikua anapima tu kina cha maji kwa mguuWewe unayesema tusilete unaongea kama nani ktk hili jukwaa!.nadhani ni mgeni humu na kwanini unaumia roho wakati anayeliwa ni Kanji?wa kwako ulioleta uko wapi?Je ni mara ngapi tunaleta hapa na mnashindwa ku copy?
Utafikiri mwenyewe ni Melo ahahahah ama utafikiri kakununulia bando eti usiwe unaleta kutuumiza moyo ahahahahah watz watu wa ajabu.Wewe unayesema tusilete unaongea kama nani ktk hili jukwaa!.nadhani ni mgeni humu na kwanini unaumia roho wakati anayeliwa ni Kanji?wa kwako ulioleta uko wapi?Je ni mara ngapi tunaleta hapa na mnashindwa ku copy?