Kama mechi tatu zimetiki, na mechi zilizobaki hazijaanza, basi utaona sehemu imeandikwa turbo kwenye mkeka wako, bofya hapo.Wadau plz nielekezeni nawezaje kuturbo mkeka kwenye meridian ???
Kama mechi tatu zimetiki, na mechi zilizobaki hazijaanza, basi utaona sehemu imeandikwa turbo kwenye mkeka wako, bofya hapo.
NB: idadi mechi ulizopatia zinaweza kuwa zaidi ya tatu.
Mkuu mechi ilichezwa jana hiyo, 1-1Tanzania vs Lesotho vipijaman
Haaah huko sio kuzuri kimbia usigeuke nyumaWazee wa keno ya meridian. Ivi amnaga ata ka formula kakujua namba ata moja itakayotoka kwenye kila race? Mimi nimeshaaply formular zote za kimathematician lakini holaa.
Tusaidiane wadau, mwenye formular ya kujua ata namba moja tu itakayotoka atusaidie tafadhali.
Wazee wa keno ya meridian. Ivi amnaga ata ka formula kakujua namba ata moja itakayotoka kwenye kila race? Mimi nimeshaaply formular zote za kimathematician lakini holaa.
Tusaidiane wadau, mwenye formular ya kujua ata namba moja tu itakayotoka atusaidie tafadhali.
Buku 2. Inakuliza aisee na cc wa
Leo ndomwisho Wang wa kubeti
Mkuu m bet wanaturbo au?premeirbet weken nanyie turbo achen upumbavu mtaacheje kipengele mujarabu hcho, ona sasa ktimu kmebak kimoja af kinakuja kusepa na kilago.
Umeliwa kichwaZambia wa**nge sanaaa! Wanapigwa dakika za mwisho
Hivi timu ikicanceliwa mkeka unakuaje sasaWakuu kuna hik kitim
Cjui kinaitwa maroc
Cjui kimeishaje matokeo
Yake maana kalifaa kucheza
Saa kumi sasa cjui kame
Cancel liwa ama vp
mnagawana sawa kiwango kilichopoHivi Perfect mkipatia watu kumi inakuaje? Mbet