mkuu umepotea sana kwa jukwaaNimeamua kuiwekeza tena hiyo hela ya supuuu maana mfungo huu kunywa supuu siyo vizuri. Hapa ni kanji arudishe pesa niliyomla au nichukue hela nyingine kwakeView attachment 519992
Kweli mkuu majukumu yamebana na league kubwa zimeisha ndiyo maana. Bado nazisoma hizi league ndogo nizielewe. Ila tupo pamoja sanaamkuu umepotea sana kwa jukwaa
Aisee wakuu juzi kwenye mechi ya juventus na real madrid kwa upande wa premier bet waliweka ile megamix offer mi nikachagua REAL MADRID TO WIN AND BOTH TEAMS TO SCORE (6 ODDS)
Pamoja na REAL MADRID TO WIN A TROPHY (1.80 odd)
Nikatia elfu 5 nikawa nakula 50 k , basi bhana jumapili naenda kumulika mkeka naambiwa NOT A WINNING TICKET wakati matokeo yalikuwa ni 1-4 na real madrid alichukua kombe ,
Nikatupa mkeka wangu kwenye dustbean ile naenda tena leo pale wanapobetisha naskia ile mikeka ya jumamosi tuliotupa imetiki watu wameokota wakatoa pesa ,
aisee premierbet ni matapeli tu.
umenikumbusha ule msemo "vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumuacha MTU salama"Vita ya kubeti haijawai kumwacha mtu salama.
Huo mkeka dogo mmoja alipga, lakini jana yake hakuwa na mkeka aloweka elf 5, aiseeehAisee wakuu juzi kwenye mechi ya juventus na real madrid kwa upande wa premier bet waliweka ile megamix offer mi nikachagua REAL MADRID TO WIN AND BOTH TEAMS TO SCORE (6 ODDS)
Pamoja na REAL MADRID TO WIN A TROPHY (1.80 odd)
Nikatia elfu 5 nikawa nakula 50 k , basi bhana jumapili naenda kumulika mkeka naambiwa NOT A WINNING TICKET wakati matokeo yalikuwa ni 1-4 na real madrid alichukua kombe ,
Nikatupa mkeka wangu kwenye dustbean ile naenda tena leo pale wanapobetisha naskia ile mikeka ya jumamosi tuliotupa imetiki watu wameokota wakatoa pesa ,
aisee premierbet ni matapeli tu.
Vita ya kubeti haijawai kumwacha mtu salama.
Mkuu ulifanikiwa tatizo.na mimi niliweka jumamos na zote zilitoa but mpaka sasahv hawajaweka hela kwenye account yangu.niliwatumia email hakuna feedback yoyoteHawa premierbet siwaelewi nilibeti huo mkeka hapo chini na matokeo yote yalitokea kama nilivyobashiri ,ila mpaka leo bado kuna game haijafunguka.Mwenye namba zao aweke hapa nijaribu kuwasiliana nao.
Dah imeniuma sana aisee.Huo mkeka dogo mmoja alipga, lakini jana yake hakuwa na mkeka aloweka elf 5, aiseeeh
Wale jamaa VIP hawajawai puyanga aseePiddy okoa jahaz tena Jana alofata VIP amenufaika maana walipiga zote ,tunakutegemea tena Leo.
Applicatiön inaitwaje mkuu pdidy
Ni kweli VIP BETTING wako vizuri sana....hadi nimelazimika kufuta applications zingine kutoka kwenye simu nimebaki na VIP tu. Hawa watu wako vzr sana. Ukichanganya na akili zako utakuwa unapiga hela kila siku.Wale jamaa VIP hawajawai puyanga asee
Mkuu una roho ngumu sana. However, I wish you all the best chief!Nimeamua kuiwekeza tena hiyo hela ya supuuu maana mfungo huu kunywa supuu siyo vizuri. Hapa ni kanji arudishe pesa niliyomla au nichukue hela nyingine kwakeView attachment 519992
Mkuu hapa utakuwa umejitapeli mwenyewe. Wewe unaona kabisa mkeka umeshinda unautupaje kwa mfano? Si ungeenda ofisini kwao kulalamika? Ungebet online ungepiga hela....kuna uwezekano mhudumu uliyempa mkeka aliingiza code vibaya. Pole sana.Aisee wakuu juzi kwenye mechi ya juventus na real madrid kwa upande wa premier bet waliweka ile megamix offer mi nikachagua REAL MADRID TO WIN AND BOTH TEAMS TO SCORE (6 ODDS)
Pamoja na REAL MADRID TO WIN A TROPHY (1.80 odd)
Nikatia elfu 5 nikawa nakula 50 k , basi bhana jumapili naenda kumulika mkeka naambiwa NOT A WINNING TICKET wakati matokeo yalikuwa ni 1-4 na real madrid alichukua kombe ,
Nikatupa mkeka wangu kwenye dustbean ile naenda tena leo pale wanapobetisha naskia ile mikeka ya jumamosi tuliotupa imetiki watu wameokota wakatoa pesa ,
aisee premierbet ni matapeli tu.