Dah yaani nimewacheki jamaa nikapotezea kumbe ndo wanawini aisee
TUsichoke MDAU kwani ktk maisha hakuna kukata tamaa kesho nayo n siku, cha msingi ni kuwaomba hao wadau waendlee kutupatia updates hapa hapa jukwaani kwani ipo siku kanji ataturudishia japo chenji kidogo mkuuDah yaani nimewacheki jamaa nikapotezea kumbe ndo wanawini aisee
sawa mkuu tunashukru kwa hilo ww ukizipata jaribu kutuwekea hapa jukwaani kila mmoja anaweza kujaribu bahati yakeChamsingi unaweza kuchomoa kadhaa kila grp ukaweka mkeka mmoja ..na mwingine ukaamua kufa nae kama hizo nane ..haoo jama kuna wiki wanafululiza ya kwanza mpaka yatano awakosi unajaribu kufwata hisia
sawa mkuu tunashukru kwa hilo ww ukizipata jaribu kutuwekea hapa jukwaani kila mmoja anaweza kujaribu bahati yake