Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,442
Meridian bettingMkuu hii ni kampuni gani ya betting
Meridian bettingMkuu hii ni kampuni gani ya betting
Ni kampuni gani hii maana hizi nyingine naona wameweka magoli zaidi ya hayoWeka usiogope
Poa kakaMeridian betting
shukrani sanaHizi app zimetengenezwa kulingana na regions yaani unakuta 22bet ya kenya wana app yao ambayo mtz hawezi itumia labda awe na line ya kenya. Ila kuna app ambayo ni universal ambayo njia nyingi za kudeposit ni kwa kutumia bank, paypal, skrill na zingine
Kwa tanzania naona bado hawajaachia app yake
Ukiangalia hapo kenya app ipo ila tz badoView attachment 1682363View attachment 1682364
View attachment 1682477
Hiyo ni App angalia total odds ni ngapi na stake ni sh ngapi, kisha paid out ni sh ngapi ?
Ugeni mzigo sana, nimeona nyota nyota tuWeka usiogope
wadau natafuta site ambayo ntabet US$ nataka niachane na TZsh
Buyrern ni boya sana
Goli mbili zimemshinda
20% kumba sana inakuwa kama unawabetia wao.22bet wana mobile deposit and withdraw
Pia wanakata kodi 20% ya faida
Alafu hawaonyeshi kwenye betslip. Ni kama wizi fulani hivi20% kumba sana inakuwa kama unawabetia wao.
lakin bro shida ya kampuni nyingi hawaweki hyo option ya under 2.5 first japo hata me naona ni rahis sana kupata hela kwa hyo optionKaka naongea nawewe saa 5. dkk 9 hii! Leo tafta gemu ubetie under 2.5 first half then utanipa mrejesho. Epuka ligi za Brazil. Au ukipata za under 4.5 au 5.5
Kwa uzoefu wangu probability ya mechi nyingi kupata goli 2 HT ni kwenye 30% na kupata goli 3HT ni 15%! Very rare case timu zinaweza fungana goli 3 in first half. Which makes under 2.5 HT very safe bet.
Full time probability ya mechi nyingi kupata 3+ ni kwenye 50% na kupata 4+ ni 15%!
Kwahio napo utaona kwamba safest regions ni Under 4.5 au 5.5 japo hii inakuwaga na odds chache ni nzuri kama unastake higer
Hiyo Fake,,labda kwa Half ya kwanzaView attachment 1682470wale wenzangu wa basketball Leo pesa nje nje