bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,357
- 9,545
pole sana mkuu, hopeful saivi umeshapona tayari
Twende na huopole sana mkuu, hopeful saivi umeshapona tayari
Hata mimi mkuu alitembea na 3.7m kwa stake Tsh10Kati ya kazi ngumu za kuingiza pesa nilizowahi kufanya nambari moja ni betting.
Aiseeee betting ni kazi ngumu sana, kubashiri ni kazi isioeleweka, yaani mtu unageuka mchawi ghafla.
Namshangaa sana presdaa anavyolalamika et urais ni kazi ngumu! Mwambie ajaribu hii ya kubet, anaweza kua chizi within a day.
Wadau niliweka treni ya tim 30 za wiki nzima, nikafanya uchambuzi na upembuzi hakinifu, nikajipa moyo awamu hii ntatusua, yaliyonikuta!
Treni ilienda fresh kabisa, green color ikatawala kwenye treni yangu nikajiaminisha hii ni zamu yangu kunywa supu, mpaka nikaanza kupanga matumizi ya pesa ntakayopata.
Aiseeee yaliyonikuta! Huyo kiumbe anayeitwa Benifica namuombea ashuke daraja kabisa. Benifica kalala mbele na 1.5M yangu.
Hii kazi ni ngumu inahitajika moyo wa jiwe.
Aluta continua. View attachment 1488375View attachment 1488376View attachment 1488377View attachment 1488378View attachment 1488379View attachment 1488380
Tusikate tamaa Mkuu ipo siku tutatusua tu.Hata mimi mkuu alitembea na 3.7m kwa stake Tsh10
Pole mkuu ungetumia playmaster ungeweza kuuza baada ya match moja Kubak au hata ungekosa mtaji wako ungerud.pole Sana mkuu!Hata mimi mkuu alitembea na 3.7m kwa stake Tsh10
Valencia analimwaga,,unooo
Mkuu hii app inaitwajeJaribuni hizi piaView attachment 1488499View attachment 1488500
Valencia analimwaga,,unooo
Una kismart kulwa😀😀
Uliweka Laki?
Wakuu nataka nilipuke hivi ushauri wenu tafadhaliView attachment 1488918View attachment 1488919