pole sana mkuu, hopeful saivi umeshapona tayari
Twende na huo
Screenshot_20200625-173621.jpg
 
Kati ya kazi ngumu za kuingiza pesa nilizowahi kufanya nambari moja ni betting.

Aiseeee betting ni kazi ngumu sana, kubashiri ni kazi isioeleweka, yaani mtu unageuka mchawi ghafla.

Namshangaa sana presdaa anavyolalamika et urais ni kazi ngumu! Mwambie ajaribu hii ya kubet, anaweza kua chizi within a day.

Wadau niliweka treni ya tim 30 za wiki nzima, nikafanya uchambuzi na upembuzi hakinifu, nikajipa moyo awamu hii ntatusua, yaliyonikuta!

Treni ilienda fresh kabisa, green color ikatawala kwenye treni yangu nikajiaminisha hii ni zamu yangu kunywa supu, mpaka nikaanza kupanga matumizi ya pesa ntakayopata.

Aiseeee yaliyonikuta! Huyo kiumbe anayeitwa Benifica namuombea ashuke daraja kabisa. Benifica kalala mbele na 1.5M yangu.

Hii kazi ni ngumu inahitajika moyo wa jiwe.

Aluta continua. View attachment 1488375View attachment 1488376View attachment 1488377View attachment 1488378View attachment 1488379View attachment 1488380
Hata mimi mkuu alitembea na 3.7m kwa stake Tsh10
 
Kama ulikuwa hujui we mzee wa kubet basi fahamu hvyo.. Sana uwezo wa kudeposit na kuirudisha haraka sana kama hujabetia..
So muwe makini viongozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom