Dive
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 868
- 1,424
Mkuu nawe pia hujasoma posts za nyuma yaani umedandia treni kwa mbele, SUDUVA imeletwa na jamaa huyu Phd young junior lakini mada ilikuwa tupate udhibitisho kuwa yule Hazard CFC kuwa watu na fixed bet zao jamaa ameshinda single fixed ya stake ya 250,000/= nikaomba mwingine mwenye match hiyo hata kama mkeka umechanika alete udhibitisho ili tujue ule ushindi haukuwa edited. Tusome thread vizuri wajameni.Jana mechi ya Suduva ilitumwa mapema.kabla haijaanza na iliwin , ilikuwa ni correct score!!