faokipe
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 1,017
- 1,172
Hii game ni usenge mtupu timu inapewa penati tatu kama sio fixing game ni nnAmkeni jamani SPORTING CP kafumuliwa
Hii game ni usenge mtupu timu inapewa penati tatu kama sio fixing game ni nnAmkeni jamani SPORTING CP kafumuliwa
Leganes wakimiliki mpira kwa 24% wanapata goli la kuongozaHapa goli lazima liwepo. Nahisi litafungwa na BETISView attachment 1194551
AiseeInPlay;.
Napoli
Over 0.5
Hiyo option ya zero bet ni ipi hiyo mkuu?Jamaa hawa website yao huwa ni nzito kufunguka mpaka inakera. Ila wana options nyingi na nzuri kwa kupiga pesa. Nilikuwa napiga pesa ndefu sana na ile optiion yao ya Zero bet. Nina zaidi ya mwezi kila nikijaribu kuingia mtandao haupatikana unakutana na ERROR message tu
Booooom. JUVENTUS 3-2 NAPOLIInPlay;.
Napoli
Over 0.5
msibet ureno,ugiriki,uturuki na asiaHii game ni usenge mtupu timu inapewa penati tatu kama sio fixing game ni nn
Unanishangaza sana mzee...unahisi wewe ni master wa huu mchezo sio,nikudokeze kidogo tu ninavyoongea nalala na faida ya 150k kutoka kwenye basket ila sijafurahishwa na jinsi unavyowacheka wana waliochezea za uso.Lengo sio kuchekana inatakiwa tuelekezane na kufarijianaAmka kwenye huo ujinga mzee. Huo unaoufanya ndo upuuzi halisi, upuuzi pure, na utaliwa mpaka akili ikukae sawa. Unalalamikalalamika nn na watu washaongeaga sana kuhusu directs, ukiliwa nyuti kuficha ujinga mzee.
Unanishangaza sana mzee...unahisi wewe ni master wa huu mchezo sio,nikudokeze kidogo tu ninavyoongea nalala na faida ya 150k kutoka kwenye basket ila sijafurahishwa na jinsi unavyowacheka wana waliochezea za uso.Lengo sio kuchekana inatakiwa tuelekezane na kufarijiana
Wote tunacheza betting na wote dhumuni ni tushinde, I make money weeks n weeks ila ni ujinga kila siku uwe unafariji msiba wa kujitakia... mimi si bingwa na pia si mjinga kiasi cha kutojifunza na makosaUnanishangaza sana mzee...unahisi wewe ni master wa huu mchezo sio,nikudokeze kidogo tu ninavyoongea nalala na faida ya 150k kutoka kwenye basket ila sijafurahishwa na jinsi unavyowacheka wana waliochezea za uso.Lengo sio kuchekana inatakiwa tuelekezane na kufarijiana
Hebu tuwekane sawa kidogo hapa;Sisi sote tunamuwinda kanji bai,haijalishi ni kwa njia ipi,iwe normal,gg,au double chance etc.Sasa ukiona mtu kacheza direct win na wewe ni mpenz wa magoli 1.5,2.5,3.5 etc,tusichekane wala kuvunjana mioyo! Mimi ni muumini mzuri wa kucheza over 1.5,lakini huwezi amini napigwa sanaaa tu !mfano leo nani aliamini Ac Milan ingetoa kagoli kamoja tu?lakini hapo mtu wa normal(direct win)kala,mimi wa goli mbili tumechapika mbayaa!!!So hakuna njia rahisi ya kumpiga muhindi,muache mtu achague ,tusizomeane wala kuchekana !!!"aluta kontinua"
Mkuu sio kwamba mabingwa sema game zingine huwa hazitabiriki lakini kuna game ukiziangalia kwa statistics zao unaona option ya magoli inafaa mfano nani alijua Jana barca, Chelsea, Dortmund zingepoteza kwa direct win?? Lakini kama ungecheza magoli kwa game zote tatu ungekosa pesa???Tatizo kuna watu wanajiona mabingwa wa kucheza magoli but wanaliwa mara kibao tu kama ingekua kucheza goals ni safe si wasingekua wanachaniwa wao ingekua ni kuwin tu
Wewe jamaa acha mambo ya kidada k*ma wewe so unafurahi watu wanavyo poteza au!! Hebu tuonyeshe mikeka yako uliyoshinda hapa!!!Wazee wa direct win wanaendelea kunyooshwa ipasavyo! manchester, Barca na Chelsea oyee
Wewe jamaa acha mambo ya kidada k*ma wewe so unafurahi watu wanavyo poteza au!! Hebu tuonyeshe mikeka yako uliyoshinda hapa!!!
Acha mambo ya kimburula pimbi wewe!!! Ungekuwa karibu ningekupa show ya nguvu matako yako makubwa kama ya vera sidika...pumbaf sana unaf*rwa na mateja....hawana mkubwa wewe!!
Tusigombane wazee Mambo Ni ngumu kote syo direct Winn wala magoli kla Kona kanj katubana.Hapa n tifarijiane na kupeana angalau possible winning.Mkuu naomba mkeka achana na huyo bwana
Kagueni hyo ngoma hapo wazeeTusigombane wazee Mambo Ni ngumu kote syo direct Winn wala magoli kla Kona kanj katubana.Hapa n tifarijiane na kupeana angalau possible winning.
Mkuu huyo jamaa ndio alvyo anataka kulazimisha option zake zifatwe tang kitambo anaboa sana achana nae.Unanishangaza sana mzee...unahisi wewe ni master wa huu mchezo sio,nikudokeze kidogo tu ninavyoongea nalala na faida ya 150k kutoka kwenye basket ila sijafurahishwa na jinsi unavyowacheka wana waliochezea za uso.Lengo sio kuchekana inatakiwa tuelekezane na kufarijiana