Hahahahaaa dahTimu 10.
Hahahahaaa dahTimu 10.
Mkuu unatumia kampuni gani?Mpe Simba cap ya goli -2 odds 3+ tia 100k vuta stuli subiri pesa
Hapo ndo naonaga umuhimu wa direct win ila nayo inazingua balaa,, ukiomba goli mbili haitoki ukiweka direct win inatoa sare au ulompa anapigwaJuve jana walilala 100k mbele wameshindwa kutoa over 1.5
Kingine mkuu juve hanaga goli nyingi usimwamini sana mara chache sana anatoa goli 2 au 3Juve jana walilala 100k mbele wameshindwa kutoa over 1.5
Ok shukranKingine mkuu juve hanaga goli nyingi usimwamini sana mara chache sana anatoa goli 2 au 3
PrincessbetMkuu unatumia kampuni gani?
Natk niweke mzigo mwingi je? Natakiwa nichgue team ngap?
Hiv kuna uwezekano muhind akawa anatumia vumba kufubaisha akili za wanaobet wasiamue ipasavyo..au hiz ni iman tuu..
Kinyonge.....
Unachukua mechi zako 10... Unaziweka kinyonge under 5.5 ..... Unapata odds zako 1.5 - 1.6 .... Unaweka 10,000 unakunja 15000 fresh.... Mbarikiwe
Huku sasa ni kuchezea ela sio kucheza ela.Kinyonge.....
Unachukua mechi zako 10... Unaziweka kinyonge under 5.5 ..... Unapata odds zako 1.5 - 1.6 .... Unaweka 10,000 unakunja 15000 fresh.... Mbarikiwe
Kati ya hizo mmoja atakuwa kirusiii
Basi sawa....Huku sasa ni kuchezea ela sio kucheza ela.
Yani first half unakuta goli 3 tayari sasa weka over 1.5 uone ngoma dakika 80 bila bilaKati ya hizo mmoja atakuwa kirusiii
Utashangaa mechi mojawapo kipindi cha kwanza ipo 2-3Kinyonge.....
Unachukua mechi zako 10... Unaziweka kinyonge under 5.5 ..... Unapata odds zako 1.5 - 1.6 .... Unaweka 10,000 unakunja 15000 fresh.... Mbarikiwe
Yote sawa....Utashangaa mechi mojawapo kipindi cha kwanza ipo 2-3
Sure pata poteaYote sawa....