Nguniani
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 1,077
- 1,167
Tunalala nayo mkubwaaWolves vs Burnley
Wolves- win
Odds: 1.86
Stake: 2M
See you tomorrow wapambanaji wenzangu, wanaume wa shoka.
Bet what you can afford to lose.
Tunalala nayo mkubwaaWolves vs Burnley
Wolves- win
Odds: 1.86
Stake: 2M
See you tomorrow wapambanaji wenzangu, wanaume wa shoka.
Bet what you can afford to lose.
Mungu bariki kesho barcelona ashinde dhidi ya betis alafu man city dhidi ya 2_5 tuka drawn mpungaGanda la ndiziilo kazi kwenu. MUNGU MBARIKI ATAKAE FATA MKEKA HUUView attachment 1188202
Hiv kuna uwezekano muhind akawa anatumia vumba kufubaisha akili za wanaobet wasiamue ipasavyo..au hiz ni iman tuu..Mzee uchawi upoo
Ndo mana betting apps karibia zotee hazipo playstore
Kule hamna uchawi
Sijui tunakwama wapi! Ukifungua livescore uangalie matokeo yalivyonona unajishangaa labda wakati unabet ulishikiwa akili
Natk niweke mzigo mwingi je? Natakiwa nichgue team ngap?Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k
GG (maana yake tim zote zifungane).. GGGG ( tim zote zifungane kila kipindi)
2+ (katika mechi yote yapatikane magoli kuanzia mawili)...
I 2+ (kipindi cha kwanza yapatikane magoli kuanzia mawli)...
II2+ (kipindi cha pili yapatikane magoli kuanzia mawili)....
H2+ (tim ya nyumbani ipate magoli kuanzia mawili)...
A2+ (timu ya ugenini ipate magoli kuanzia mawili)...
Timu 10.Natk niweke mzigo mwingi je? Natakiwa nichgue team ngap?
Hata nami niliiamini sana asee. Matokeo yake ametuunguza mbwa hawa.Niliiamini saana aisee..
Timu 10.
Hapa cha msingi ni kununua timu ya mpira ili niwe na uhakika na kile nachofanya.
Ngoja nikukatishe tamaa, hii betting hata uweke timu moja mhindi akitaka hela yako anaichukua tu. Hata uhame kampuni kama unatumia akili ile ile mhindi anakufata huko huko.Natk niweke mzigo mwingi je? Natakiwa nichgue team ngap?
Wabheja mwanawane focus and attitude. GoodjobYani ukiweka mzigo mkubwa utakula sanaaa. Mimi nilianza na mtaji wa 2M lakini toka League zianze hizi week mbili nina faida ya 10M