Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,564
- 1,510
Poa mkuu ngoja niwatimbie maana mkipost inplay nikiingia betpawa sioni meridian ndo inaload balaaaApp yao na web hakuna tofauti
Poa mkuu ngoja niwatimbie maana mkipost inplay nikiingia betpawa sioni meridian ndo inaload balaaaApp yao na web hakuna tofauti
Mi sijawahi wasiliana nao maana sijawahi pata shida yoyote mkuu ila si kuna sehemu ya kuchat nao live je nako hawajibu?Nimetumia parimatch kwa mara ya kwanza, nimepiga pesa ila hawaitoi mpk sasa. Naona na ww unatumia parimatch je unamawasiliano yao ya simu. Email hawajibu
Ila kiukweli hata mm nina gundu na mikeka ya watu mpaka nilishaacha kutembelea mkeka wowote naouona huwa nashuhudia tu Won won ila nikijipanga niruke nayo lazima niliwe kichwa.Nilikuwa naona Professa akiweka humu mikeka yake, siku moja nami nikasema acha nijiunge Meridian nipige pesa kupitia nyota yake.
Akaweka mkeka wa kwanza nikakopi na kupaste, mwisho wa matokeo ikawa ndo hivyo tumepoteza. Nikapiga moyo konde nikaweka tena mwingine alioweka pia ikawa ndo hivyo.
Akakaa kama siku mbili hajaweka mkeka, siku alipoweka nikaruka nao ila wapi ni mwendo wa kupigwa tu. Mwisho nikasema acha nifanye yangu. Nikaanza kubet mwenyewe kwa mawazo yangu nikawa nakula muda mwingine napigwa.
Jana nimekaa na kusaka pointi 15 na zikawin, leo nisaka 22 najua zitawin.
Kwa sasa hata nione humu fixed match siwezi kukopi nitakomaa na akili yangu.
Na wewe unayeleta humu mkeka omba nisiukopi .
South Africa u20 vs Nigeria u20 mpaka sasa nigeria anaongoza 1 bila , home team apate goli ana 7 mpira dakika ya 34 kipind cha kwanza naona hii odds 7 kwangu iko reasonable ngoja niweke mzgo wa kawaida , me natumia meridian
*_Money Stops Nonsense_*1544 Championship
Hull City - Blackburn Rovers
12 & Ov(1.5) *1.63*
1570 Championship
Sheffield Weds - Luton Town
12 & Ov(1.5) *1.65*
Odd *2.69*
*Bet9ja👉🏿 Z59MZ726*
1427 League One
MK Dons - Lincoln City
12 & Ov(1.5) *1.68*
1476 League Two
Plymouth Argyle - Salford City FC
12 & Ov(1.5) *1.70*
Odd 👉🏿 *2.86*
Na mechi za wanawakeCONCLUSION
WALE WANAOPENDA KUBETIA IDADI YA MAGOLI HASA OVER 0.5, 1.5, 2.5 BASI LIGI ZETU NI BELGIUM, NETHERLANDS(EREDIVISIE+ERESTEDIVISIE), IRELAND .,..... Hizi ligi hukosi over....
Halafu mpinzani wake kala umeme kitamboShanghai SIPG bana ... hata Double Chance (1X) imemshinda ...
Shanghai PIG tuanze kumkimbia.. kawa bwabwa!Shanghai SIPG bana ... hata Double Chance (1X) imemshinda ...
Mimi nikituma wangu naweka onyo kbs usiufuateYaani nikiukopi tu ujue wote tunalamba mchanga.
Hahahaaaaaaaaa nasiki kabet wanamchunguza kama siasiaNimepita nje ya kijiwe kimoja cha betting, nimesikia jamaa anasema Pogba wewe ku*a m**ak*
Nimeweka 50,000/= jana halafu unakosa penati
Dah.... Betting bhana ni presha tu
Umekutana na kimbunga!Napima upepoView attachment 1186013
Pumbavu kweli huyo nimempa 1-3 goals hata moja limemshinda duhShanghai SIPG bana ... hata Double Chance (1X) imemshinda ...