thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Chonde chonde jamani mnaotaka kuanza kubeti kwanza mjiulize MNA moyo wa Chuma maana hii kitu ni zaidi ya Ndoa ukishaingia kutoka ni issue sana halafu kama ndo unamatatizo ya Moyo au Pressure tunaweza tukakupoteza mapema I see.....Huu ulingo ni wa moto sana, kuna kipindi cha furaha na kuna kipindi cha majanga yaani hichi kipindi kama unademu unaweza hata ukamsahau maana utapulizwa na muhindi mpaka utasema ngoja nipumzike hata mwezi na huo mwezi humalizi unashangaa mwenyewe unarudi tena ulingoni!!
Sisi wabetiji huwa tuna tabia ya kujiamini yaani hata kama 500 basi unajipa matumaini yakumpiga kanji na hatujawahi kukaukiwa na pesa za kubet....
Ila PARIMATCH WAMEANZA USENGE MAMAYEEEE....JANA WALINIWEKEA -11111 TSH, LEO NAKUTA -38000 TSH MAMAYEE CJUI WAMEISHIWA PESA..inaonekana watu wanawapuliza sana isee
Sisi wabetiji huwa tuna tabia ya kujiamini yaani hata kama 500 basi unajipa matumaini yakumpiga kanji na hatujawahi kukaukiwa na pesa za kubet....
Ila PARIMATCH WAMEANZA USENGE MAMAYEEEE....JANA WALINIWEKEA -11111 TSH, LEO NAKUTA -38000 TSH MAMAYEE CJUI WAMEISHIWA PESA..inaonekana watu wanawapuliza sana isee