Ok, dah majanga tena sasaWanasubili leseni hawajapata, iliwaishia sasa naona wanabaniwa nazani ni mambo ya kodi hayo, imebaki njia ya kutoa ila kuweka haipo
Aisee wamalizane sasa kabla League hazijaanza tunataka tuwekeze vilivyo bhanaNdiyo mkuu wamezingua
Huko kote nimeelewa,swali langu ni Je? Home akishinda vipindi vyote mkeka umekufa?
WEKAAAAA HELAAA YOTEEEE ULIYONAYOOO....ANGALIA SALIOKaaaazikwakoooooView attachment 1166473
Asante sana mkuu, naomba namba yako ya wattsapp Kama hutojaliZingatia haya
1, Kwenye page ya SEND BITICOINS jaza kibox cha Receiving address kwa kupaste address uliyokopi 1xbet
2 Jaza kiasi cha bitcoins kwenye kibox cha Amount in bitcoins ( hakikisha unajaza kiasi sahihi, utakiona hapo juu kimeandikwa "You can send up to" hiki ndio kiasi unaweza tuma
So copy hiko kiasi uki paste hapo kwenye Amount in bitcoins ili usikosee amount
Usijaze kitu kwenye MORE OPTIONS
Kuna mambo mawili nahisi yanakukwamisha
Moja labda unacopy vibaya address, au
Unaandika kiwango kisicho sahihi
Mwisho ikigoma labda utakua umenunua ndogo sana
Atleast anzia buku 5
Pamoja nimekusoma mkuu,ntajaribuHpn haujafaa ata akishinda kipindi kimoja bado hujafa
ii IPO njema sana mkuuTIPS
LORIENT 1X
LUDOGO OV 1.5
POGON OV 1.5
eLFSBORG 1X
NYBERSUND OV2.5
MAXB
N bahat piaAise nani huyo kala 157M jana kwenye perfect 12
Hongera yake
Stakeallurmoney*BET9JA π Z5DVJMKK*
2213 San Jose, USA
Suarez Navarro, Carla - Linette, Magda
*1HH 1.57*
2392 Kitzbuhel, Austria
Chardy, Jeremy - Cecchinato, Marco
*1 - Yes 1.30*
*ODD 2.04*
π΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈπ΄ββοΈ
*GREENLAND INTERNATIONAL*
Akifunga moja, then arudishiwe...Hao utakuwa umeliwa.Wadau emb nielekezen hii maan cjaielewa mfano unakuta umeekewa 2 goals in a row by a single team ... ina maanisha ya kwamba timu inatakiwa ifunge magoli mawili bila ya yeye kurudishiwa au na mfano team1 ikafunga goli likarudishwa na team2 alaf team 1 akafunga goli tena la pili hapo inakuwaje
WOOOON TUKUTANE KWA WAKALAAAB Vs Silkeborg OVER 1.5
Ukiweza kuivizia INPLAY itakuwa pouwaa zaidi.