MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 549
- 549
Umeiactivate hyo line KWny mpesa?Wadau msaada hapo yani kila nikituma pesa kwenda safaricom narudishiwa ujumbe huo View attachment 1145290
Umeiactivate hyo line KWny mpesa?Wadau msaada hapo yani kila nikituma pesa kwenda safaricom narudishiwa ujumbe huo View attachment 1145290
kumbukumbu no unatumia no ipi?Wadau yani toka Jana natuma pesa kwenda safaricom lakini ina cancel tu halafu narudishiwa ujumbe huo mwenye kujua zaidi anisaidie View attachment 1145281
Pole MkuuWakuu Chile kasepa na mtaji wangu wote kashindwa kupata hata draw
Mkuu pole sana, nawaza tu kama jana ningekuwa na salio sijui ingekuwaje maana kwa game za jana nisingeikwepa kabisa hiiWakuu Chile kasepa na mtaji wangu wote kashindwa kupata hata draw
Ndio vizuri hapa wanataka 18+ ndio wawe wanashiriki. Sio umepita na jero la kununulia vitumbua hapo home mbiiiiooooo kwenye betshop kutafuta 50+... millionSheria mpya huko Kenya ukibeti chini ya Ksh 50 ambayo ni sawa na Tsh 1150 jela itakuhusuView attachment 1146062View attachment 1146063
Mikeka yote mechi Moja inaharibu.. hii dawa yake sijui nini.. zote zinatoa ya Mwisho inachanaWazee njooni tupige chapati na maharage...pesa yote kaondoka nayo Chile dah sitaki kuamini
Jana jamaica amenichania mkeka *****.Mikeka yote mechi Moja inaharibu.. hii dawa yake sijui nini.. zote zinatoa ya Mwisho inachana
Be consistent utampiga tuWazee mhindi kanipiga sana nna miezi sijamuonja hata buku
kila la kheri mkuu.Norway - Eliteserien
Ranheim IL - Rosenborg BK
2 DNB
1.42
Estonia - Esiliiga
Tartu JK Welco - Parnu JK Vaprus
Over (2.5)
1.40
TOTAL ODDS: 1.99
Kama una laptop download 1xbet windows app halafu jaribu kuactivate uone...Wadau habari,naomba msaada kama ifuatavyo. Nimepata line ya Safaricom na nimefungua vizuri account ya 1Xbet Nikaweza kufanya deposit ya kwanza vizuri kabisa. Tatizo kila nikitaka kufanya deposit sasa hivi inakataa,inaniambia ni activate account na namba ya simu,lakini kila nikijaribu sms ya activation code haiji kwenye namba yangu ya Safaricom,lakini kwenye web inaonyesha kuwa sms imetumwa Naomba ushauri wajuzi.
Akhsanteni