2jabway
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,257
- 1,395
Duuu pole sana mkuu,kwa kweli sijawahi kuitumia ila nikiipata nadhani nitarudi hapa jukwaani kutafuta uzi page za nyuma huko kuna mdau aliwahi elekeza namna ya kutumia safaricom,hebu ngja nicheki kuna sehem niliwahi save nakumbuka ngja niangalie nikutumie maelezoAisee mi mwenyewe nahangaika kinoma kujua namna kufanya jana nimeuliza humu hizo line zinafanyaje kazi au kwa wale wanaotumia bank wanafanyaje naona watu wamekunja tu roho,Vp hizo line zinafanyaje kazi?