😜😜😜😜😜 Sijui hata niandike nini hivi kweli mtandao wa Kenya ushike signal Karagwe au Gairo??? Au kisa Safaricom na Vodacom ni kaka na dada?Mbona hii safar com haina network sasa
Chichii Naambiwa siwezi join sababu uliniremove...Muhindi amepasuka sio kitoto
Njoo tushirikiane kumpasua
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/GnXDIb2rYulAxCAMgZSzWEView attachment 1109753
Mbona inashika tu kama kawaida mzee. Kwa kutumia huduma ya roaming service sema mtu anataka kwenye kioo chake paandikwe safaricom😜😜😜😜😜 Sijui hata niandike nini hivi kweli mtandao wa Kenya ushike signal Karagwe au Gairo??? Au kisa Safaricom na Vodacom ni kaka na dada?
Jamaa anakwama sanaaAcha Ujuha wa kusumbua watu na ki-group chako...na ulivyo na Sifa kama sio dume! Ume-remove mpaka wameisha umeleta ki-link tena!
Unamaanisha nini ndugu?Sijui hata niandike nini hivi kweli mtandao wa Kenya ushike signal Karagwe au Gairo??? Au kisa Safaricom na Vodacom ni kaka na dada?
Ngoja nikupige kaswali kiongozi unijibu kwa sababu sina uelewa huoMbona inashika tu kama kawaida mzee. Kwa kutumia huduma ya roaming service sema mtu anataka kwenye kioo chake paandikwe safaricom
Network ya Safaricom inashikaje Bongo labda nipo zangu Gamboshi kule inakamataje au ina interaction na minara ya Vodacom kisa wana undugu?Unamaanisha nini ndugu?
Sijakusoma
Network ya Safaricom inashikaje Bongo labda nipo zangu Gamboshi kule inakamataje au ina interaction na minara ya Vodacom kisa wana undugu?
Halafu walivyokuwa wajinga wanaedit mikeka ni kutuletea humu upimbi wao...Hakuna group lolote la whatsapp la kubeti lenye kitu kipya yote yale yale watu wanamwaga mamikeka Wanapasuka mnamtukana muhindi shughuli inaishia hapo kesho inaendelea tena! Kujiunga group ukitegemea utakula aisee sahau kabiisa Mentality za watu wa kubeti zinafanana almost everywhere so Be careful bora ubeti wewe mwenyewe bila kumfuata mtu yani hata ukiliwa hakuna wa kumlaumu zaidi yako wewe mwenyew
Popote inaposhika Halotel, Vodacom na Tigo, Safaricom inashika.Ngoja nikupige kaswali kiongozi unijibu kwa sababu sina uelewa huo
Nikiwa na laini ya Safaricom na nipo Kilosa itakamata 3G au nitaitumia kwa minara gani maswali yangu yanaweza kuwa hayana kichwa wala miguu ila waweza kujitahidi kuyaelewa Kilosa hakuna minara ya Safaricom ipo ya Vodacom network yao nitaipataje?
Mkuu mi nataka nitembee hivi ushaur wako tafadhaliLeo Warusi 1xbet na Parimatch wameweka game zote za ligi kuu tz
Nataka nijilipue
Naombeni maoni
Kiongozi mambo vp?Aisee bado unatumia 1xbet Chief?Mkuu mi nataka nitembee hivi ushaur wako tafadhali
Kagera handcap1+
Allience handcap 1+
KMC handcap 1+
Ndanda handcap 2+
Mbeya city handcap 1+
Nataka niweke figo mkuu haha
Safi ndgu yangu,hapana payment system ilivyozingua nikahamia Parimatch ila nipo mbion kupata line ya Safaricom maan kwa bitcoin daaa makato ni makubwa aseeKiongozi mambo vp?Aisee bado unatumia 1xbet Chief?
Aisee mi mwenyewe nahangaika kinoma kujua namna kufanya jana nimeuliza humu hizo line zinafanyaje kazi au kwa wale wanaotumia bank wanafanyaje naona watu wamekunja tu roho,Vp hizo line zinafanyaje kazi?Safi ndgu yangu,hapana payment system ilivyozingua nikahamia Parimatch ila nipo mbion kupata line ya Safaricom maan kwa bitcoin daaa makato ni makubwa asee