Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,754
Nyie ndiyo wajinga.Wakuu kuna huyu jamaa anajiita Rostema naye ni tapeli sana , kuweni makini naye
Anadanganya watu kuwa anauza odds kumbe yuko na app fulani kaiokota huko play store , anachofanya nikwamba mwenye app akipost games naye anatuma kwa group na kuwaambia watu walipie . na sio sure odds , watu wanapasuka vibaya mno ,
Halafu analalamika kuwa mbona tunanunua odds kwa Pdidy inakuaje yeye akitaka kutuuzia tunakataa,
Mpuuzeni kabisa maana ni tapeli kama matapeli wengine ,
Hawa wakenya sijui wanafeli wapi alooo,
Wanaonaga watu wote ni idiot