Well said..Hakuna option rahisi kwenye kubeti. Option yenye hata odd ya 1.01 inaweza kuchana mkeka kikubwa ni kustratergyz ili kupunguza risk ya kuliwa na kupata faida..
Kumbuka kuna watu walimuua Bayern, hivyo umewatukana.Jana Nilikuwa Natembea Na Elfu 15000 Lakini Bayern Kaniuwa Quuma La Mamaake
Nilijua mmoja lazma afeNafanya maamuzi magumuView attachment 1059102
Syo lazma nakata hlo kuna nchi na nchi. Kuna nchi magoli syo ya kutafuta bali ushindi ndo wakutafuta.Well said..Hakuna option rahisi kwenye kubeti. Option yenye hata odd ya 1.01 inaweza kuchana mkeka kikubwa ni kustratergyz ili kupunguza risk ya kuliwa na kupata faida..
Nimemuona Mayu pia anacheza sana direct win na kwa kweli mikeka kibao tunaiona imewin..Hatuwezi wote kucheza option moja kimsingi tunacheza option ambazo kila mtu anaona zinamsuit na zitamletea matokeo chanya..
Kuna siku timu zitatoka 0-0 kuna siku zitatoa magoli n.k, hyo ndiyo football, cha msingi tushee skills zetu na mbinu mbalimbali lakin si kuikashifu ama kuisemea vibaya mbinu ya mwenzio bila kufahamu mbinu hiyo hiyo ndo inayompa matokeo chanya..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uingereza magoli syo shda kazi ipo kwenye ushindi ,ujeruman,Denmark,netheland,Italy baadhi,Belgium baadhi, Norway baadhiSyo lazma nakata hlo kuna nchi na nchi. Kuna nchi magoli syo ya kutafuta bali ushindi ndo wakutafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Zeint wamepasha moto kiporo changu cha jana
Worry not
Ni kweli mkuu inawezakana