Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,248
- 13,827
Nilijua nilitaondoka mapema
Tulipata Rais wa hovyo sana. Kaharibu sana hii nchi. Kaharibu hata mifumo ya uendeshaji serikali.....hakuna sheria au kanuni. Ni matamko tu na ubabe wa madaraka. Alishindwa kujenga taasisi imara ya urais. Ikabakia kila kitu kinategemea yeye kaamkaje. Akisema piga risasi, unapigwa tu.
No wonder hata aliyekuwa makamo wake sasa (akiwa Rais) analazimika kunafanya marekebisho makubwa sana kurudisha nchi kwenye mstari na ustaarabu wa utawala bora, wa sheria na haki.
Katika hali ya kawaida, usingetegemea mabadiliko makubwa hivi kama nchi ingalikuwa imeendeshwa kitaasisi na si kwa matakwa ya mtu mmoja very abuseful na mwenye miguvu iliyopitiliza ya kikatiba na kisheria
Rubbish. Sisi wananchi tunataka viongozi kama hao kina magu hata wawe 10mil hivi.
Has a final say ? Binadamu ni watu wa ajabu sana ulitaka atumie ubabe hakutumia umemlaumu kaletwa mbabe mmemlaumu tunataka demokrasia pale inapotubeba tunataka veto pale demokrasia inapotuletea tusichotaka all in all tusitegemee kupata viongozi wa maana katika jamii iliyojaa ubinafsi,kila mtu kujiona bora kuliko wote, kujipendekeza nk unakuta wazalendo wa wawili out of 100 unategemea niniAs an incumbent president, Kikwete had the final say... angeliweza kusema if that is the case nahairisha kikao mpaka huko mbele aone reaction yao.... He has the support of the army, police, and other machinery of the government particularly law enforcing ones. Kikwete alikuwa dhaifu!
Kwa kuwa Nyerere alikuwa Mzaramo sio? Una mawazo mepesi sana unapinga ubaguzi kwa kuwa mbaguzi? Yaan vikao vya chama vianze kujadili kabila au dini badala ya mtu. Swali la kujiuliza watu wote kwenye kabila lako mnalingana vipato, maarifa, kimo,rangiKanda ya ziwa sio wa kupewa nchi, mawaambieni, aiseee jamaa ni washenzi sanaaa
Kwa kuwa Nyerere alikuwa Mzaramo sio? Una mawazo mepesi sana unapinga ubaguzi kwa kuwa mbaguzi? Yaan vikao vya chama vianze kujadili kabila au dini badala ya mtu. Swali la kujiuliza watu wote kwenye kabila lako mnalingana vipato, maarifa, kimo,rangi
sio kikwete ni marehemu mkapaWa kumlaumu ni Kikwete! Alichonga kinyago kikamzidi nguvu, vitisho , all kind of frustrations, worries and upheavals!
Kama kuna mtu unamuona hatari kama magufuli anataka kupita unatumia udikiteita kuokoa jamii, ndicho ninachomaanisha. Hta watoto wako unaona kabisa kuwa huyu atatapanya mali zangu unamuengua kiaina...Has a final say ? Binadamu ni watu wa ajabu sana ulitaka atumie ubabe hakutumia umemlaumu kaletwa mbabe mmemlaumu tunataka demokrasia pale inapotubeba tunataka veto pale demokrasia inapotuletea tusichotaka all in all tusitegemee kupata viongozi wa maana katika jamii iliyojaa ubinafsi,kila mtu kujiona bora kuliko wote, kujipendekeza nk unakuta wazalendo wa wawili out of 100 unategemea nini
Na haitakuja tokea nchi kupewa msukuma, wakuu wa usalama washajifunzaMimi nasema Kabila lile alilotoka mwendazake ni hatari kwa nchi hii
Wasukuma hawafai kupewa madaraka makubwa ktk nchi,Chukiii na wivu kwahiyo kama mkeo katoka kabila fulani kakushinda ndio wasiolewe tena, hio haimaniishi wsliobakia hawatoweza .
Nyie wasukuma hamtokuja kushika nchi hii,, Tanzania chini ya magufuli ilikuwa inatumbukia shimoniWw ndio ulifaa eeh! Punda kabisa wewe😠!
DaaahUkatili mkubwa mmoja wapo na ambao sijui kama utasitishwa,ni kuwanyima watu haki ya fao la kuacha ajira na kuwacheleweshea wastaafu pesa zao hadi miaka miwili.
Lengo lilikuwa kuwasababishia msongo ikibidi wafe kabla hawajapata mafao yao au wakipata waishi muda mfupi.Huu ni zaidi ya ushetani
Hahaha eti GamboUsiwaamini wazee wale ...utashangaa kesho CC imeptitisha Gambo kuongoza nchi
Jamaa hakuwa na utu kabisa"Peleka moto, wapelekee moto, peleka moto wee wapelekee motoooo"
Majibu ya Magu akiwaambia wateule wake pale wanapomwambia "Wananchi wanalalamikia hili na hili"
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Huyu alieandika yeye sio mwananchi hahaha sema wewe unatakaRubbish. Sisi wananchi tunataka viongozi kama hao kina magu hata wawe 10mil hivi.