Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,795
- 71,214
Kila kukicha nafuu ya Jana kuliko Leo. Na taifa likifikia hatua hiyo ni kuwa linachikichia na matumaini ya maendeleo ya kizazi kijacho hakuna.
Haya yote yanafanyika kutokana na uongozi wa awamu hii kutozingatia misingi ya utawala bora, kuheshimu katiba na sheria na pia kutokushirikisha wadau wote wa siasa na maendeleo.
Wakuu wote wa awamu zilizopita kuanzia ya pili hadi ya nne wapo, ma PM na wataalamu wastaafu wapo sasa shida ni nini hawajitokezi kutoa ushauri bali nao kuingia mkumbo wa kusifia hata tunapotumbukia kwenye shimo?
Biashara zimedoda, mahusiano kimataifa yameharibika, mikataba inavunjwa na kutuletea umasikini kwa kulipishwa fidia na utawala bora unadumaa hivyo watumishi hawana ari tena ya utumishi.
Jee hawa viongozi wastaafu Uzalendo umewaishia hivyo wanaona bora liende tuu kwa vile wao wanahudumiwa kwa pension nono?
Haya yote yanafanyika kutokana na uongozi wa awamu hii kutozingatia misingi ya utawala bora, kuheshimu katiba na sheria na pia kutokushirikisha wadau wote wa siasa na maendeleo.
Wakuu wote wa awamu zilizopita kuanzia ya pili hadi ya nne wapo, ma PM na wataalamu wastaafu wapo sasa shida ni nini hawajitokezi kutoa ushauri bali nao kuingia mkumbo wa kusifia hata tunapotumbukia kwenye shimo?
Biashara zimedoda, mahusiano kimataifa yameharibika, mikataba inavunjwa na kutuletea umasikini kwa kulipishwa fidia na utawala bora unadumaa hivyo watumishi hawana ari tena ya utumishi.
Jee hawa viongozi wastaafu Uzalendo umewaishia hivyo wanaona bora liende tuu kwa vile wao wanahudumiwa kwa pension nono?