fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 806
- 2,182
Mbona na wewe unatumia keyboard
Kwani keyboard na keyboard warriors ni kitu kimoja? Kama ni hivi halali mumtegemee mbowe kufikiri.
Mbona na wewe unatumia keyboard
Wewe mwanamume suriali unaesubiria cheo cha mwanamume mwenzio ili upate kula embu tulia au kalale.Nyie ndio huwa mnaliwa na hawa wahuni, unashabikia chama cha Mbowe saccos unapata nini kwa mfano. Akili za kushikiwa na Mbowe hizi, badilikeni.
Akili yako ni mbofumbofu kama dp yako haiko stable..Kijana kumshabikia Dikiteta lazima una uwalakiniNa ukiwa unashabikia upinzani unakuaje maana naona hujamalizia kuwa lazima utakua layama.
Kipigo Kiko pale pale, uliahidi kuhama October usikimbie jukwaani.Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu na moja ya kiashiria kikuu ni wazee kukaa kimya kipindi Kama hiki.
Wameona ni Bora kutunza heshima zao ili hata Lissu akishinda Urais aweze kuendelea kuwapa stahiki zao.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa,Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Mimi sibonyezi sasa. Mimi najamber mbele yako na unifanyi kitu. Pata uhondo mbrrr mbrrr.
ili kupata kichekesho kama hiki bonyeza nyoota.
kurudia malezo bonyeza reli
Ila Kumbuka na Wahuni HuzzeekaDalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu na moja ya kiashiria kikuu ni wazee kukaa kimya kipindi Kama hiki.
Wameona ni Bora kutunza heshima zao ili hata Lissu akishinda Urais aweze kuendelea kuwapa stahiki zao.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa,Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Kwenye ndoto ni kama ulivyoelezea keep on dreaming it is good for your healthSwali jingine
Hivi mtu anaeahidi kuleta katiba mpya ya Warioba na mwingine anaesema katiba sio kipaumbele chake.
Warioba na Butiku watachagua Nani?
Je Ni Bora kwao CCM ibaki madarakani lakini katiba isije
Au
Ni Bora katiba ije na CCM itoke?
Ahadi ya katiba itampa Lissu kura nyingi sana kuanzia wakuu wa Vyombo vya dola Hadi watumishi wa Mungu
HahahahaIla Kumbuka na Wahuni Huzzeeka
hii kitu inaleta hasira kama na sisi tuwe na vya moto tuwajibuHakika tumeamua kukaa upande utakaoleta baada ya tarehe 28 Oktoba 2020 Uhuru , Haki na Maebdeleo ya Watu :
14 October 2020
Mara, Tanzania
Duh.! Polisi wavamia ofisi ya Esther Matiko, wakamata watu kibabe, mpambano mkali watoke
FULLCUPIngekua keyboard warriors ndo wapiga kura pekee huyo kibaraka wenu wa mabeberu angetangazwa asubuhi tu lakini Bahati mbaya hatà robo ya wapiga kura hamfiki.
Akili yako ni mbofumbofu kama dp yako haiko stable..Kijana kumshabikia Dikiteta lazima una uwalakini
Wewe ni Lafa tu mwanamume suruali usiejitambua hujui maisha na haujui unataka nini,unakaa hapo unategemea cheo cha Magufuli ili uende chooni.Mwnaume siamama imara ila ww huwezi .Kakojoe ulaleKanye ulale maana baba yako anakaribia kurudi. Unaleta ujuaji na unakaa kwa baba yako
Huyo ni kula kulala anaetegemea funds za DikitetaFULLCUP
Unawaita wenzior keyboard warriors wakati mwenyewe unaongea hayo ukiwa nyuma ya keyboard. Sasa wewe na hao kuna tofauti gani?
We itakuwa hutendi haki ndio mana mwogamwoga. Acheni Dhurma, tendeni haki ndio mtakuwa huru. Madhurma mnayoyafanya yanasababisha vizazi vikose baraka.Sisi wazee tunaojitambua, tunaotambua hii nchi imetoka wapi na inaelekea wapi??
Hatuwezi mchagua huyo kijana wenu Tundu Lissu ili tuwatese wajukuu zetu.