technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu au ikishinda kiongozi mkuu atapata msukosuko mkubwa kutawala na mwisho wake ataanguka.
Uwenda kukawepo na mabadiliko makubwa hata kama dicteta atashinda uchaguzi huu kwa mabavu na anaweza asifike 2025.
Tatizo kubwa ni kukiuka katiba kutaka kubadilisha katiba na kuonea watanzania.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki kupitia upinzani au kupitia makamo wa rais ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa, Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Mkimnyima Uongozi kwa mabavu shinikizo lake linaweza kuleta mabadiliko makubwa kupitia mtu wenu
Tuendelee kuwepo.
Uwenda kukawepo na mabadiliko makubwa hata kama dicteta atashinda uchaguzi huu kwa mabavu na anaweza asifike 2025.
Tatizo kubwa ni kukiuka katiba kutaka kubadilisha katiba na kuonea watanzania.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki kupitia upinzani au kupitia makamo wa rais ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa, Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Mkimnyima Uongozi kwa mabavu shinikizo lake linaweza kuleta mabadiliko makubwa kupitia mtu wenu
Tuendelee kuwepo.