Wazee wa siku hizi bwana!!!!!!!!!!!!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,834
155,782
Wakisha staafu hawataki kurudi kijijini,
wakipokea mafao yao wanawadanganya mama zetu eti mafao yao yamepelekwa kwa wastaafu wa East African Community.
Nyumbani hawaonekani, wanarudi usiku wa manane wakiwa wamelewa chakari.
Sometimes tunagonhana nao viwanjani wakiwa na tutoto tu teenager.
Hatuwaambii mama zetu kwa usalama wa ndoa zenu, na pia tunajua uzi hupita ilimopita sindano, lakini namuomba Mungu nsiige tabia yako mbaya.
Mungu akubadilishe leo usimrudie mama usiku wa manane.
Halafu nahisi kale kademu kako kanakupa mtandao laini wenye kubnana kuingia
 
kuna siku nilikuwa na miadi ya biashara saa moja usiku...
na mshikaji mmoja hivi....ilikuwa tukutane watuwatatu
tujadili dili la pesa kadhaaa

kufika kwenye hiyo bar,tukamkuta jamaa yupo high high hivi,,
katupokea nje ya bar na anasema tufanye kikao kesho kwani kuna dharura

tulipomuuliza zaidi ndo nikapa stori nzimma nikabaki hoi....

jamaa akatuambia baba yake alikuwa na kawaida ya kupotea nyumbani kila
anapopata mshahara.....na akirudi baada ya wiki hana hata shilingi

sasa siku hiyo ndo siku ya kustaafu na kaambiwa baba yake kashalipwa mafao yake
na mpaka dakika ile hajui baba yake alipo...
so ndo anaingia viwanja kumtafuta,japo amnyanganye pesa kwanza....lol
 
kuna siku nilikuwa na miadi ya biashara saa moja usiku...<br />
na mshikaji mmoja hivi....ilikuwa tukutane watuwatatu<br />
tujadili dili la pesa kadhaaa<br />
<br />
kufika kwenye hiyo bar,tukamkuta jamaa yupo high high hivi,,<br />
katupokea nje ya bar na anasema tufanye kikao kesho kwani kuna dharura<br />
<br />
tulipomuuliza zaidi ndo nikapa stori nzimma nikabaki hoi....<br />
<br />
jamaa akatuambia baba yake alikuwa na kawaida ya kupotea nyumbani kila <br />
anapopata mshahara.....na akirudi baada ya wiki hana hata shilingi<br />
<br />
sasa siku hiyo ndo siku ya kustaafu na kaambiwa baba yake kashalipwa mafao yake<br />
na mpaka dakika ile hajui baba yake alipo...<br />
so ndo anaingia viwanja kumtafuta,japo amnyanganye pesa kwanza....lol
<br />
<br />
tuzee twa siku hizi tuna laana ya tigo
 
Back
Top Bottom