Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

RRONDO kuna hizu tuta zinawekwa temporarily kwa kifusi za kishenzi sana

20220122_095159.jpg
 
Wakuu kati ya BMW 3 series na Audi A4, zote matoleo ya kuanzia 2010-2012, gari ipi ina handle vizuri na ina driving comfort nzuri zaidi ya mwenzie, Msaada kwenye tuta nataka nifanye maamuzi Mungu akipenda nivute moja kati ya Audi A4 na BMW 3 series.

View attachment 2091396

View attachment 2091397

View attachment 2091398

View attachment 2091399

View attachment 2091400

View attachment 2091401

View attachment 2091402

View attachment 2091403
Chukua A4 ila kaa mbali na gari zenye hio number plate aka Singapore product. Usithubutu.
 
Hahahahaha gari ulikuwa unaendeshaje hadi unamgonga kiumbe wa mungu yani au uliingia highway ukiwa learner
Ndiyo nilikuwa nimetoka zangu kumaliza driving school kujifunza manual then kesho yake nikachukua automatic nikaingia barabarani. Nikaenda na akili zangu za kimanual manual kwenye automatic nikajikuta nishaiva.

Sema wakati wa kuenda nilienda vizuri tu ila wakati wa kurudi sasa ndiyo nikatoa boko. Ilikuwa ni mitaa ya home tu nikiwa narudi ndiyo nataka nitoke kwenye lami nikunje kona niingie kushoto kwenye barabara ya vumbi inayoenda home.

Tulikokuwa tunaishi baadhi ya sehemu kuna ng'ombe na punda wengi wenyeji wanawatumiaga kubeba mizigo yao. Na huwa wanawachunga na kutembea nao barabarani hovyo tu hivyo kupishana nao kila siku ni jambo la kawaida.

Sasa wakati narudi ili nikaingie kwenye ile kona nilikuwa spidi nikajisahau kupunguza hivyo badala ya kukunja kona nikaenda nikagonga kile kizingiti cha kwenye kona. Vile ambavyo vinawekwaga kwenye kona pande zote mbili.

Vile vinajengwaga kwa zege na nondo halafu kwa chini kulikuwa na kamtaro kanapita. Kwahiyo nikagonga kile kikapinda kikawa kama kinataka kuingia kwenye mtaro then tairi ya upande wangu ikaingia kidogo kwenye mtaro.

Sasa pale kwenye kona karibu kabisa na ule mtaro palikuwa na ng'ombe anakula vimajani pale na mtu anayemchunga alikuwa pembeni yake. Yule mtu alipoona nimepoteza uelekeo akaruka akamuacha ng'ombe wake pale.

Sasa alipokuwa amesimama yule ng'ombe ndipo gari ilipoenda kugota kwahiyo ikampush yule ng'ombe akaanguka then number plate ikamkata kidogo kwenye mkuu. Sikuumia na gari ilitoka nzima ila tu bumper la mbele liliachia kidogo.
 
89 Reactions
Reply
Back
Top Bottom