Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Binadamu wa siku hizi wamekuwa delicate kama kasha la yai....unaweza kumpiga mtu kibao, ukashangaa amenyoosha miguu, ndiyo kaaga dunia hivyo .
Na wanaume wengi wanaoshambulia pale wanaookwaruzwa, mara nyingi unakuta kagari ni kapya, au amepakia msichana pembeni ..hivyo anatumia fursa hiyo kumuonyesha yule msichana kuwa naye ni mbabe....

Wakati mwingingine, ni bora kujidai mjinga, maisha yaendelee
Sure mkuu watu wanatakaga tu kujitutumua lakini ukweli ni kwamba hata uwe na roho ngumu kiasi gani kutoa roho ya binadamu mwenzio siyo kitu kidogo. Ile guilt lazima itakutafuna moyoni milele hata usipoonesha hilo mbele za watu.
 
Sure mkuu watu wanatakaga tu kujitutumua lakini ukweli ni kwamba hata uwe na roho ngumu kiasi gani kutoa roho ya binadamu mwenzio siyo kitu kidogo. Ile guilt lazima itakutafuna moyoni milele hata usipoonesha hilo mbele za watu.
Ndiyo maana naogopa sana ugomvi wa kurushiana ngumi...siwezi...
Mara ya mwisho kupigana nilikuwa class five..

Siku moja nimekaa mahali nikaona dereva wa daladala ameparua IST ya mjeda bampa la mbele.....aisee yule dereva alichochewa ngumi..

Na bado mwisho wa siku wakaongea na kufidiana gharama..
 
..nani yupo tayari tukazurure..?.
IMG_20220117_194644.jpg
 
Ndiyo maana naogopa sana ugomvi wa kurushiana ngumi...siwezi...
Mara ya mwisho kupigana nilikuwa class five..

Siku moja nimekaa mahali nikaona dereva wa daladala ameparua IST ya mjeda bampa la mbele.....aisee yule dereva alichochewa ngumi..

Na bado mwisho wa siku wakaongea na kufidiana gharama..
Hahahahahha eti alichochewa Ngumi
 
Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..

Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
 
Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..

Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
Vyote viwili :p:p:p...sababu ya kukwepa kusafiri usiku ni hii,nahisi uwezo wangu wa kuona usiku umepungua kwa kiasi kikubwa.
 
Mimi siku hzi nna tatizo la kuendesha usiku town, zile taa za kumulikwa tukiwa tunapishana zinanizingua sana, kiasi siwezi kutembea zaidi ya 50 kph. Nakuwa na tension sana...ukizingatia gari yangu Taa zake kidogo zilishika ukungu kwa hyo sio kali sana kumulika barabara..

Hapa nisafishe taa au nikapime Macho? Kuna Raia wanakupiga full mpaka machozi yanatoka.
Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.

Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.

Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.

Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
 
Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.

Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.

Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.

Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
MWingine unakuta inawaka moja,akiweka full ndio anapata mwanga kidogo. Halafu unakuta ni bulb tu ya kubadilisha.
 
Nimeicheki, ni proper merc grille. Inavutia. Jirani yangu ana 2011 E350, namwonaga anavyohenya kunegotiate barabara mbovu ya huku kitaa. Mita kama 200 tu kutoka lami ila ni mtiti haswa. Anatoka nalo mara moja moja sana, siku nyingine anatumia probox. Nadhani hayo ndio matumizi sahihi ya gari kama hizo.

Ukikaa humo mzee lazima utaijua idadi na aina ya matuta yote kwenye njia unazotumia. Kuna aina ya matuta yanagusisha gari chini na matuta mengine ni safe kuyapanda straight on. Usiwakasirikie tu makandarasi
Huwa nabaki kusema tuta hili kaweka mtu asie na gari @##__&&&& zake! Gari ikikwaruza hadi utumbo unageuka! Hadi tumejifunza trick ya kupanda kiupandeupande. ILA Dar-Arusha, Dar-Dom sijapita tuta lolote gari ikagusa chini. Kilikuwepo kituta kimoja kabla ya kuingia Korogwe ILA wamekitoa kilikuwa kama Gogo la mnazi!
 
Mm huwa nazima zangu Kwa sekunde chache alafu nawasha full direct nikiona mbishi nakuletea goma huko huko.

Kuna madereva wanatembelea full nyakati zote. Kwa madaladala ninq chojua ni switch za taa zinakua zimesha kufa ukiwasha taa inawaka full moja Kwa moja.

Wengine macho yamepungua nguvu so inabidi awashe full Tu.

Tafuta miwani ya kuendeshea usiku, ongeza bulb zenye Wats kubwa na kapime macho.
Hao wanaotembelea full nyakati zote utafikiri wanawinda huwa nashindwa kuwaelewa. Huwezi kuwaletea shida wenzio wengi kisa wewe mtu mmoja kwa tatizo ambalo unaweza kulitatua.
 
Back
Top Bottom